Sword
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 864
- 183
Huyu jamaa ni Mnyarwanda ambaye alilowea huku kwetu. Unajua sisi Watanzania ni wakarimu sana na hatuna ubaguzi, si wanyarwanda peke yao bali wengi sana kutoka nchi za jirani wamepitia huku kwetu. Serikali ya Tanzania iliwasomesha hawa watu wengi tu bila hata ya ubaguzi, tena walilipwa kama wanavyolipwa watanzania mfano ninao kuna jamaa alijiita yeye ni mtu wa Ngara lakini alikuwa ni mtusi na tulikuwa tunachukua wote mkopo, nimeshangaa hivi majuzi hapa namuona akipost facebook kuwa yupo Rwanda na ni Muandishi wa habari wa magazeti ya huko rwanda na anajisifu kuwa yeye ni mnyarwanda na anaipenda sana nchi yake nadhani inawezekana huyu nae ni kama huyo jamaa niliemtolea mfano hapo.
Viongozi wao wengi wamesomeshwa na serikali ya Tanzania lakini hawa vurugu ipo kwenye damu baada ya kuuana wao kwa wao sasa wanaona haitoshi, maana baada ya rwanda kustabilise wamerudi kwao na kutoa siri nyingi sana za hapa.
Ni wakati muafaka kwa Serikali ya Tanzania kujitazama upya na kuangalia chembechembe iliyobaki ya hawa jamaa na kuwafukuza maana ni hatari sana.
Viongozi wao wengi wamesomeshwa na serikali ya Tanzania lakini hawa vurugu ipo kwenye damu baada ya kuuana wao kwa wao sasa wanaona haitoshi, maana baada ya rwanda kustabilise wamerudi kwao na kutoa siri nyingi sana za hapa.
Ni wakati muafaka kwa Serikali ya Tanzania kujitazama upya na kuangalia chembechembe iliyobaki ya hawa jamaa na kuwafukuza maana ni hatari sana.