President Kagame still my Hero

President Kagame still my Hero

Mtu anapozungumza habari za Kagame najisikia kutapika,hata kama ni kweli so what? Peleka pumba zako kwa wajinga wenzako wasiomjua kimbaumbau huyo aliejaa damu za watu wasio na hatia.Udikiteta unaujua wewe
Acha hasira na jazba elewa kwamba Gen Kagame ni kiongozi bora na sio bora kiongozi!!
 
Pamoja na propaganda niite za kitoto zinazoendeshwa na viongozi wa Tanzania pamoja na Baadhi ya watanzania dhidi ya Rais Paul kagame wa Rwanda kwa mtizamo wangu anaendelea kuwa Rais Bora barani Africa.

Ni rais pekee africa anaye weka mbele maslahi ya nchi yake kuliko kitu chochote. Kutokana na hiyo nia ya dhati amefanikiwa kwa kiasi fulani kupunguza saratani ya ukabila ndani ya Rwanda ndani ya miaka 20 tu. Si katika kuondoa ukabila tuu bali amefanikiwa kuboresha elimu na utoaji wa huduma za jamii hasa afya kwa kiwango kikubwa sana ukilinganisha na nchi yeyote ya Africa. Kwa aliyebahatika kwenda Rwanda kabla ya Kagame atakubaliana na mimi jinsi rais kagame alivyo fanikiwa kwenye miundo mbinu, barabara , njia za mawasiliano etc.

Kuna wanao sema mafanikio hayo yameletwa na pesa zinazopatikana kutokana na uporaji wa madini Congo, Je ni nchi gani yenye kiongozi mwenye akili na commited kuleta maendeleo nchini kwake na wananchi wake haipori utajiri toka nchi nyingine?? Kwani marekani ilienda Iraq kuwasaidia wa Iraq?? ama waingereza na wafaransa walienda afganstan kuwasaidia wale waarabu???Mnajua wanawake na watoto wangapi wanakufa majeshi ya marekani yanapokuwa yanaenda kutafuta resources kwenye nchi nyingine??? Kwani hii mikataba mibovu tunayo lalamikia kila siku ya madini na makampuni , serikari za nchi yanako toka makampuni haya hawajui tunaibiwa?? Ama mnadhani Obama alikuja Tanzania kwa sababu anatupenda sana Wa Tanzania?? Rais mwenye akili anaye wapenda wananchi wake na nchi yake will do whatever it takes to bring about prosperity to his/her country. Eti Tanzania tunaenda kupigana Congo kwaajili ya kuwasaidia...Nchi za kusini mwa jangwa la sahara hususan South africa, Msumbiji etc tulizo zisaidia kupata uhuru wa kweli zinatusaidia nini leo hii zaidi ya kutushukuru tuu???


Tanzania inahitaji Rais mwenye u dikteta kama kagame aje kubadilisha mindset za watanzania kama tunataka maendeleo ya kweli vinginevyo hizi ngonjera tunazoimba kila siku hazita tupeleka kokote...Mtu yeyote anaye jaribu kuvuruga kilichojengwa anawekwa za kichwa kama yule generali aliyeuwawa hivi majuzi...Kiongozi yeyote mwenye vision anafanya hivyo kwa mvuruga nchi yeyote....Bongo kituko wanauwawa watu ki majungu majungu..mwangosi etl

WATANZANIA MAJUNGU NA WIVU WA KIKE HAUTA TUFIKISHA POPOTE

karibuni sana raia wa PAKA a.k.a blood suckers
 
Acha hasira na jazba elewa kwamba Gen Kagame ni kiongozi bora na sio bora kiongozi!!

eheee, sasa nimeelewa kumbe huwa viongozi bora duniani hupigwa na mayai viza! Nchi inayooongozwa na kiongozi bora raia wake wanaogopa kuishi na kuleta maendeleo nchini mwao na kungangania mataifa ya wengine, kweli nchi inayoongozwa na kiongozi bora inakuwa na vikundi zaidi ya vitatu vya uasi. AIBU ZAKO KIDODOSI HUNA TOFAUTI NA JINA LAKO, POOR TUSI AND YOUR PAKA
 
acha hasira na jazba elewa kwamba gen kagame ni kiongozi bora na sio bora kiongozi!!

kiongozi bora kwa kuua raia anaowaongozwa kwa kuhofia kushindwa uchaguzi kidemokrasia? Au kiongozi bora kwa kuvamia, kuua na kupora mali asili ya taifa jirani? Poor tutsi dawa yenu na huyo paka wenu inachemka
 
Hata Hitler alifanya mambo makubwa sana mpaka nchi yake ikawa inatisha kiuchumi,tatizo alipoamua kutapakaza damu mikono yake!! Inanishangaza na haiingii akilini mwangu inakuwaje unakaa mbali na Hero wako si umfuate ukafaidi matunda ya kazi yake!
 
Ni rais pekee africa anaye weka mbele maslahi ya nchi yake kuliko kitu chochote. Kutokana na hiyo nia ya dhati amefanikiwa kwa kiasi fulani kupunguza saratani ya ukabila ndani ya Rwanda ndani ya miaka 20 tu. Si katika kuondoa ukabila tuu bali amefanikiwa kuboresha elimu na utoaji wa huduma za jamii hasa afya kwa kiwango kikubwa sana ukilinganisha na nchi yeyote ya Africa. Kwa aliyebahatika kwenda Rwanda kabla ya Kagame atakubaliana na mimi jinsi rais kagame alivyo fanikiwa kwenye miundo mbinu, barabara , njia za mawasiliano etc.

Jaribu kuficha upumbavu wako hata kidogo basi, miaka ishirini ni miaka ya mtu anayeweza kujitegemea! hajafanikiwa kwa lolote kuondoa ukabila zaidi ya kuendelea kuwabagua wahutu na kujenga Taifa linalopendelea watusi wenzake. paka (paul kagame) ameifanya rwanda sawa na bomu linalosubiri kulipuka muda wowote kwani ipo siku raia wa kihutu zaidi ya millioni tatu watachoka kuishi uhamishoni huku wakiwindwa kama ndege na majeshi ya paka na watarudi rwanda kudai haki zao hapa kila mwafrika mpenda amani wa ukanda huu watasimama kuwatetea na wenye haki watashinda
 
Huyu jamaa ni Mnyarwanda ambaye alilowea huku kwetu. Unajua sisi Watanzania ni wakarimu sana na hatuna ubaguzi, si wanyarwanda peke yao bali wengi sana kutoka nchi za jirani wamepitia huku kwetu. Serikali ya Tanzania iliwasomesha hawa watu wengi tu bila hata ya ubaguzi, tena walilipwa kama wanavyolipwa watanzania mfano ninao kuna jamaa alijiita yeye ni mtu wa Ngara lakini alikuwa ni mtusi na tulikuwa tunachukua wote mkopo, nimeshangaa hivi majuzi hapa namuona akipost facebook kuwa yupo Rwanda na ni Muandishi wa habari wa magazeti ya huko rwanda na anajisifu kuwa yeye ni mnyarwanda na anaipenda sana nchi yake nadhani inawezekana huyu nae ni kama huyo jamaa niliemtolea mfano hapo.

Viongozi wao wengi wamesomeshwa na serikali ya Tanzania lakini hawa vurugu ipo kwenye damu baada ya kuuana wao kwa wao sasa wanaona haitoshi, maana baada ya rwanda kustabilise wamerudi kwao na kutoa siri nyingi sana za hapa.

Ni wakati muafaka kwa Serikali ya Tanzania kujitazama upya na kuangalia chembechembe iliyobaki ya hawa jamaa na kuwafukuza maana ni hatari sana.

kiujumla watusi ni watu wabaya sana na hata wanawake wao siyo viumbe wa kuwasogelea kabisa
 
Kabla ya kulala leo fikiria tena ulichkiandika. Lakini ufanye hivyo kama wewe ni Mtanzania. Kama ni Mnyarwanda, huhitaji kufanya hivyo, tutashughulika nawe kwa njia hii.

watanzania tungekuwa na akili finyu kama huyu mang'aa tusingeweza kusimamama kama TAIFA hadi sasa.
 
Wanyarwanda rudini kwenu mtuache na Tanzania yetu, hata kama ni shida zilizopo nchini ni za kwetu nyie haziwahusu acheni kutaka kutogombanisha. Tunawaombea msijetena mkaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe kaeni kwa amani na msipeleke chokochoko huko DRC tulieni kwenu muendelee kuijenga Rwanda yenu.

Kagame kweli amewafikisha pazuri kwa kuuwa woooote wanaompinga, sisi hilo hapa kwetu halipo, tunaheshimu uhuru wa kutoa maoni, na ndio maana wengi unawasikia wakiikosoa serikali yetu na wanaendelea kuwepo mitaani bila tatizo japo ni kweli matatizo mawili matatu hayawezi kukosekana si tu kwa Tanzania bali hata kwa nchi ambazo zimeendelea.

mkuu rwanda hali ni mbaya sana kwa wale wahutu na watusi wachache wanaompinga dikteta huyu, rushwa ni ruksa kwa familia na maafsa wa serikali waklio karibu na serikali ya kagame kwa wengine walalahoi ndiyo rushwa kwao ni mwiko, rwanda ni sawa na taifa mfu linalosibiri kuzikwa muda wowote chini ya mikono inayonuka damu ya paka
 
Ndugu Melchior umeongea ukweli mtupu. Rais Kagame ni kiongozi shupavu, jasiri na mahiri kuliko yeyote barani Afrika na katika ulimwengu wa dunia ya tatu. Kwa kipindi kifupi cha miaka 20 tu amefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kuipa maendeleo na utulivu nchi ya Rwanda. Leo hii wananchi wa Rwanda wanafaidi matunda ya uongozi madhubuti wa Rais Kagame. Usiingie simanzi kutokana na maneno ya kashfa ya baadhi ya wanabodi hapa. Wengi ama hawajui au wanaongozwa na chuki dhidi ya Kagame kwa kusikiliza wanayoambiwa na vyombo fedhuli vya habari vilivyokosa weledi. Ukweli utabaki pale pale kuwa Rais Kagame ni kiongozi bora kuliko wengi kwa zama hizi barani Afrika. Ndugu mmoja hapa kasema eti "kikosi" cha askari 1,000 kitaweza kumkamata Rais Kagame, kwi kwi kwi. Kwanza kikosi hakina askari 1,000 labda kwa ragtag army which I doubt TPDF is (I'd like to think our forces are disciplined and properly structured like any other professional military).

Eitherway it is preposterous to think anyone can easily take down a proven combat-ready, highly disciplined, well equipped, battle-hardened force like the RDF, let alone capture Gen. Kagame, ha ha ha watu mnaota ndoto za mchana. It is plainly obvious that some of you are driven by emotions and hatred for Pres Kagame rather than facts. Mwingine analeta mambo ya uzushi aliyoandika Mchungaji Mtikila. We all know what a nut-case Mtikila is. He's eccentric and a loud-mouth whose word does not mean jack to anyone with an ounce of reasoning. Quoting Rev. Mtikila on Rwanda and Tutsis affairs is like quoting Louis Farrakhan on matters concerning Israel and the Jews. Hongera Baba Kagame!

mwanaume anaye jipendekeza kwa mwanaume mwenzake huwa ni mashoga!
 
Wewe mkimbizi wa Rwanda ndio maana unamshadadia.Huyo Kagame hana adabu hawezi mtusi Rais wangu nikasema is my hero.Wewe ngoja ile operation irudi tena tunakubeba.

dominic, monney stunna siku zao zinahesabika
 
Bila shaka umelewa gongo. Niambie maajabu yaliyopo Rwanda ambayo hayapo sehemu nyingine Afrika. Mahindi wanaagiza Goma, madini wanapata Goma, mbao wanapata goma tena kwa njia za primitive yaani plundering and looting. Ardhi yao imechoka ile mbaya. Maisha ya vijijini yamekiwa ya taabu. Magodoro na dawa za meno wanaagiza Dar, mafuta ya kula, magaei na kuendeshea mitambo yao wanapata Dar. nawashangaa sana wanaomsifia Kagame wakati hawajui hata hiyo Rwanda jinsi ilivyo

ukimwamsha aliyelala utalala wewe mkuu, machangudoa na mashoga maarufu DAR ni wanawake wa kitusi!
 
wewe mkimbizi wa rwanda ndio maana unamshadadia.huyo kagame hana adabu hawezi mtusi rais wangu nikasema is my hero.wewe ngoja ile operation irudi tena tunakubeba.

kagame yuko juu kamanda
 
pamoja na propaganda niite za kitoto zinazoendeshwa na viongozi wa tanzania pamoja na baadhi ya watanzania dhidi ya rais paul kagame wa rwanda kwa mtizamo wangu anaendelea kuwa rais bora barani africa.

Ni rais pekee africa anaye weka mbele maslahi ya nchi yake kuliko kitu chochote. Kutokana na hiyo nia ya dhati amefanikiwa kwa kiasi fulani kupunguza saratani ya ukabila ndani ya rwanda ndani ya miaka 20 tu. Si katika kuondoa ukabila tuu bali amefanikiwa kuboresha elimu na utoaji wa huduma za jamii hasa afya kwa kiwango kikubwa sana ukilinganisha na nchi yeyote ya africa. Kwa aliyebahatika kwenda rwanda kabla ya kagame atakubaliana na mimi jinsi rais kagame alivyo fanikiwa kwenye miundo mbinu, barabara , njia za mawasiliano etc.

Kuna wanao sema mafanikio hayo yameletwa na pesa zinazopatikana kutokana na uporaji wa madini congo, je ni nchi gani yenye kiongozi mwenye akili na commited kuleta maendeleo nchini kwake na wananchi wake haipori utajiri toka nchi nyingine?? Kwani marekani ilienda iraq kuwasaidia wa iraq?? Ama waingereza na wafaransa walienda afganstan kuwasaidia wale waarabu???mnajua wanawake na watoto wangapi wanakufa majeshi ya marekani yanapokuwa yanaenda kutafuta resources kwenye nchi nyingine??? Kwani hii mikataba mibovu tunayo lalamikia kila siku ya madini na makampuni , serikari za nchi yanako toka makampuni haya hawajui tunaibiwa?? Ama mnadhani obama alikuja tanzania kwa sababu anatupenda sana wa tanzania?? Rais mwenye akili anaye wapenda wananchi wake na nchi yake will do whatever it takes to bring about prosperity to his/her country. Eti tanzania tunaenda kupigana congo kwaajili ya kuwasaidia...nchi za kusini mwa jangwa la sahara hususan south africa, msumbiji etc tulizo zisaidia kupata uhuru wa kweli zinatusaidia nini leo hii zaidi ya kutushukuru tuu???


Tanzania inahitaji rais mwenye u dikteta kama kagame aje kubadilisha mindset za watanzania kama tunataka maendeleo ya kweli vinginevyo hizi ngonjera tunazoimba kila siku hazita tupeleka kokote...mtu yeyote anaye jaribu kuvuruga kilichojengwa anawekwa za kichwa kama yule generali aliyeuwawa hivi majuzi...kiongozi yeyote mwenye vision anafanya hivyo kwa mvuruga nchi yeyote....bongo kituko wanauwawa watu ki majungu majungu..mwangosi etl

watanzania majungu na wivu wa kike hauta tufikisha popote

nakubaliana na wewe mia kwa mia mkuu
 
Back
Top Bottom