Mimi kwa uzoefu wangu; maisha ni magumu na wananchi (wafanyakazi, wasio na kazi na wakulima) wamekufa moyo katika awamu hii ya nne kuliko ilivyokuwa kwa awamu nyingine zote. Kumlinganisha Nyerere na Kiwete ni dharau kubwa.Tutajie maendeleo yaliyopatikana kwa Nyerere kutokusafiri, Subirini tufe ndo mje kupndisha Historia tunajua 1985 nyerere anaondoka Ikulu bidhaa zote za msingi zilikuwa zinaitwa Bidhaa adimu unga, mchele, sukari, dawa ya meno zilikuwa zikipatikana kwa kibali cha mjumbe tena baada ya kuhakiki idadi ya wanakaya kumbuka hapo sio unapewa bure bali unanunua, watu wamevaa Sanda wakiwa hai kwa kukosa nguo halafu mnadanganywa eti nyerere kang'atuka kaacha viwanda labda vya kuzalisha Propaganda, kama uchache wa safri ndo maendeleo leo Jk asingekuwa anazungumzoa kujenga barabara, shule,madaraja maana hao mnaowaota wangekuwa washajenga, kama mpaka leo wanaopata umeme ni 14% ya wa TZ hivo viwanda vilijiendesha kwa kutumia samadi? Jk senior na Jr ndo wale wale labda kama mna ajenda mloificha kwapani!
Yaani kama kuna suala linalonifanya nijisikie vibaya kuwa mtanzania ni hili suala la viongozi wetu kuwa na mentality ya ombaomba! Shame.Magufuli...SAFIRI SANA RAIS WETU, BILA KUSAFIRI HIZI BARABARA TUNGEPATA WAPI?
WAPO WANAOKUBEZA KWANINI UNASAFIRI SANA, HAWAONI BARABARA HIZI?
haya ni mawazo ya msomi mwenye phd pale UDSM.
afu hawa nadio tunadhani wanafaa kutuongoza.watauza nchi hawa
jamani ule msitu wa pande bado upo au wamesha-ufyeka?
Yaani kama kuna suala linalonifanya nijisikie vibaya kuwa mtanzania ni hili suala la viongozi wetu kuwa na mentality ya ombaomba! Shame.
Candid Scope Sidhani kama ulichoposti kina uhusiano na mada iliyopo mbele yetu.
Unaposema kipindi cha mwl kuadimika kwa vitu jaribu kujikumbusha tz ilikuwa na mfumo gani,leo Jk anaweza kujisifia kwa kuwasaidia watanzania kweli? Ngoja nikukumbushe theory hizi mbili za kiongoz task oriented na people oriented je jk ni muumini wa itikadi gani hapo?
Watanzania wanalia kwa mfumuko wa bei, students mass failure, maisha magumu ya umaskini,ufisadi nyangumi mpaka dagaa,demokrasia pambo ndani ya nchi yao, mauaji ya raia,ajira,elimu bora, maji, umeme, barabara,chakula nk,JK alisema mwaka 2005 kwamba yeye ni mtetezi wa wanyonge, je jk anawajua wanyonge?
Jk anawaza kujibu hapa yupi mtanzania mnyonge?,eti maisha bora kwa watanzania,ubora upi leo jk anajisifia? Watu kukosa makazi,chakula,maji na mfumuko wa bei wa kutisha? Ajira kwa vijana,ajira zipi? Kama mkapa alipatia 2/3 ya graduetes leo jk ni 1/8 ya wahitimu wanapata kazi je ndo ajira hizo? By the way mwaka 2010 jk alikuwa na sera gani ya kitaifa achilia mbali ahadi za papo kwa papo alizokuwa akizotoa maeneo tofauti tofauti? Ahadi hz zimetimia kwa % ngapi?
Jk na uswahiba na serikali ya kisela inayovunja kila kukicha chini ya chama cha kupigania madaraka wana haki ya kupewa hadhi kama viongoz au watawala? Safar za kwenda kupewa suti,kumpa obama mkono,kuudhuria vikao vya wizi na ufisadi ya maliasili zetu,safari za kuomba misaada ya condom,safari za kutafuta wawekezaji wanaogeuka kuwa Mungu mtu ndani ya tz.Siku njema jibu lipo linakuja 2015
Nataka kuamini kati ya safari zote hizo zipo zilizo leta matunda,,,kusafiri ni moja ya kazi za rais
Du we jasiri kama MWIGULU MCHEMBA .....kama unayaamini uliyoyaandika!Tutajie maendeleo yaliyopatikana kwa Nyerere kutokusafiri, Subirini tufe ndo mje kupndisha Historia tunajua 1985 nyerere anaondoka Ikulu bidhaa zote za msingi zilikuwa zinaitwa Bidhaa adimu unga, mchele, sukari, dawa ya meno zilikuwa zikipatikana kwa kibali cha mjumbe tena baada ya kuhakiki idadi ya wanakaya kumbuka hapo sio unapewa bure bali unanunua, watu wamevaa Sanda wakiwa hai kwa kukosa nguo halafu mnadanganywa eti nyerere kang'atuka kaacha viwanda labda vya kuzalisha Propaganda, kama uchache wa safri ndo maendeleo leo Jk asingekuwa anazungumzoa kujenga barabara, shule,madaraja maana hao mnaowaota wangekuwa washajenga, kama mpaka leo wanaopata umeme ni 14% ya wa TZ hivo viwanda vilijiendesha kwa kutumia samadi? Jk senior na Jr ndo wale wale labda kama mna ajenda mloificha kwapani!
Unataka ukalime bustani.
JK asiposafiri tutakufa njaa....kwa hiyo safari zake zina tija kwa taifa.
Nasubiri kurugenzi ya mawasiliano Ikulu ije kukanusha!
nataka nikaoteshe nyanya kule
hahahahaha itabidi tumtafute dr ulimb anaweza kutueleza vizuri zaidiKaoteshe Ngogwe na Bilinganya utapata sana..
Magufuli...SAFIRI SANA RAIS WETU, BILA KUSAFIRI HIZI BARABARA TUNGEPATA WAPI?
WAPO WANAOKUBEZA KWANINI UNASAFIRI SANA, HAWAONI BARABARA HIZI?
haya ni mawazo ya msomi mwenye phd pale UDSM.
afu hawa nadio tunadhani wanafaa kutuongoza.watauza nchi hawa
Radhia anataka kutuambia hizo safari zinahusisha na safari za ndani
watu wana matatizo kwa kweli,tungejumlisha na za ndani zitafika zaidi ya 1000
Hizo safari za JK ni pamoja na zile za Kwenda Mtwara na Lindi ndiyo maana zimekuwa nyingi kuliko za Obama.