Pres Jakaya Kikwete, You have made us proud!

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,172
Nimefuatilia kwa makini mazishi ya Madiba huko Qunu kupitia luninga.

Kati yawatu wachache walio alikwakutoa hotuba katika mzishi hayo ni JK.

Nimefika South Africa miezi michache iliyopita n najua hisia za wananchi wa SA kwa waTanzania.

Niko bar sasa hivi na wachangiaji walio wengi wameridhika na uawakilishi wa JK katika mazishi ya mzee Madiba pamoja na hotuba ya kusisimua aliyoitoa na ambayo hata CNN wamekiri kuwa ilipendeza.

Mwisho wa yote ni kuwashukuru waTanzania wote kwa ushiriki wao katika ukombozi wa Afrika ya kusini,

=======

This article is worth reading: Bravo Kikwete for putting Mandela’s story in a Proper Context!


=======

Kwanini Hotuba Ya JK Kumuaga Mandela Ilikuwa Bora?

 
Hongera kwa kutuarifu kuwa upo huko na ulifanikiwa kwenda kutuwasilisha katika mazishi. Ila kiukweli, inaonesha ulishakunywa saana vinywaji hivyo vya bure huko kwenye mazishi. Bure mbaya
Leo, umebadili kiroba ndo maana hata huku edit habari yako. Pole
 
Nimefarijika na hotuba ya Raisi wangu na kuiona thamani yangu kwa wa Afrika kusini! Tatizo langu mm na yeye ni hapa nyumbani tu!
 
Hizi ni sera za TANU/CCM chini ya Nyerere,mambo ambayo Mtei na chadomo hawapendi.
 

Nilifika huko na na nilisha rudi bongo.
 
Ukweli siku zote hung'ara popote pale duniani. Ahsante sana Mkuu @NyakaiIkagogo. RIP Mwalimu matunda ya utendaji wako bado yanaonekana duniani hata baada ya miaka 28 tangu ung'atuke.

Matunda ya Mwl. Nyerere!
 
JK speech was very poorly prepared,a lot of grammatical errors.Akili za mwandishi wake alishindwa kuchanganya na zake.naona Mulugo syndrome inafanya kazi hata kwa JK
 
Jk anajua kuicheza karata yake linapokuja suala la kimataifa
hakupoteza nukta kuitangaza Tanzania
Though kuna utata ni lini Mandela aliingia Tanganyika ni February 1962 Nyerere akiwa waziri Mkuu
au ni miezi ya mwisho ya 1962
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…