Katikomile
JF-Expert Member
- Jul 12, 2007
- 471
- 74
Baada ya utafiti kuonesha kwamba rushwa nyingi/kubwa kubwa zilikuwa kwenye manunuzi(Procurement of public goods and services) ya umma, serikali iliamua kuanzisha sheria ya Manunuzi, Public Procurement Act ikifuatiwa na Regulator wake ambaye ni Public Procurement Regulatory Authorities. Nionavyo mimi hii PPRA wanaingiliana kikazi zaidi na ofisi ya Controller and Auditor General (CAG) na Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB).
Je ni kweli Rushwa imepungua kwenye manunuzi au ndio imeongezeka zaidi, What are PPRA exactly doing?
Je ni kweli Rushwa imepungua kwenye manunuzi au ndio imeongezeka zaidi, What are PPRA exactly doing?