PPF interview pale DUCE

PPF interview pale DUCE

wenzangu mliopigiwa maelezo ya ziada tafadhali,network ilikata na niliporudi mjini nimejaribu kuwatafuta sikuwapata tena.nilienda kijiji Olturumet network mbovu kabisa
 
Pole sana mkuu, najua changamoto za kule Ngara, Mamsa, lemanyata, Losikito, Mwandeti, vumbi lenyewe balaa, vp ulishafanya written wiki iliyopita?
me mwenyewe wameniita na nashukuru jamii foram manake alinipigia mdada mmoja hiv na nilikuwa kijiji network ikawa inasumbua wala sikumpata vema hasa kuhusu eneo la tukio hivyo ndo nimerudi nikaona nianzie jamii forum na kweli nimepata mahali pa tukio maelezo ya ziada kwa waliopigiwa isee na je ni oral au ni written?natanguliza shukrani
 
hapana ndo nimepigiwa leo tu,japo niliapply lakini sijawahi kufanya any interview na wao,wiki iliyopita walifanya written kumbe?au ni kwa post nyngine?au labda wanaita kwa awamu nini
 
waliofanya hapo UCC nao walifanya ya post hiyohiyo ya contributiona trainee?manake mi nimeitwa lakini wala sijawahi kufanya ndo mara ya kwanza,au wanaita kwa awamu?
 
Pole sana mkuu, najua changamoto za kule Ngara, Mamsa, lemanyata, Losikito, Mwandeti, vumbi lenyewe balaa, vp ulishafanya written wiki iliyopita?

hahaha mwanangu kweli unayajua mitaa ya huku kwetu,ndo hivyo maisha,sasa hapa napo sielewi elewi vile,kama ilishafanyika last week ya written na hawakuniita,ndo kusema wamechanganya mambo au niaje niaje
 
Kama ni ya kwanza itakuwa written 50q kwa dak 15, maswal meng ni numerical, tembelea aris aptitude test fanza nyng uwezavyo kwani itakufanya ukifka unaenda kupest tu!, ukikosa wewe gugle aptitude test numerical zifanye kwa wingi on line
hapana ndo nimepigiwa leo tu,japo niliapply lakini sijawahi kufanya any interview na wao,wiki iliyopita walifanya written kumbe?au ni kwa post nyngine?au labda wanaita kwa awamu nini
 
Mie nilipopigiwa simu ile jana,nilimuliza yule mdada km hiyi intrvw itakuwa ni oral au wrtn na documrnts za kubeba. Akanambia kuwa ni wrtn intrvw,niende na kalamu pmj na kitambulisho chenye picha yangu.
NB: Nikumbusheni muda mana nimesahau,nilikuwa nipo high high na kusaka shillingi.
 
Mie nilipopigiwa simu ile jana,nilimuliza yule mdada km hiyi intrvw itakuwa ni oral au wrtn na documrnts za kubeba. Akanambia kuwa ni wrtn intrvw,niende na kalamu pmj na kitambulisho chenye picha yangu.
NB: Nikumbusheni muda mana nimesahau,nilikuwa nipo high high na kusaka shillingi.

Hata me nimepigiwa leo na mdada anaitwa sophia,interview jumamosi saa nne asubuhi na itakuwa written ni ampitude test na msisahau kwenda na vitambulisho na picha mbili
 
Hata me nimepigiwa leo na mdada anaitwa sophia,interview jumamosi saa nne asubuhi na itakuwa written ni ampitude test na msisahau kwenda na vitambulisho na picha mbili

nasikia wamebandika majina sijui wapi, hivi hawa nao wana tabia ya kuita watu elfu?
 
Mi nimefanya ya benefit trainee hii wiki iliyopita maswali 50 halafu dk 15 na wanaita almost kila mtu aliyeapply ila wanawapangia muda tofauti na kwa groups, wengine saa 2,saa 4 saa 5 hata saa 10 jioni
 
Hata me nimepigiwa leo na mdada anaitwa sophia,interview jumamosi saa nne asubuhi na itakuwa written ni ampitude test na msisahau kwenda na vitambulisho na picha mbili

Shukurani sana Mkuu. Post tunayoenda kuishindania ni "Contribution Trainee" ilitangazwa 17th May, 2014. Nafasi ni nne. Mungu asaidie,mana hii mifuko ya hifadhi ya jamii imekuwa ikiwahadaa graduates kwa kutangaza kazi na huku hizo nfs zina watu wao tayari wameandaaliwa,due to vimemo from their uncles,aunts and other relatives.
Kwani vigogo wa nchi hii,nowdays wanawachomeka sana watoto/ndugu zao ktk hii mifuko ya hifadhi za jamii.
 
nasikia wamebandika majina sijui wapi, hivi hawa nao wana tabia ya kuita watu elfu?

Asante kwa taarifa jaman, mie pia nmepigiwa cm leo but kutokana na utulivu mdogo wa eneo nililokuwepo ckuweza kusikia vizuri jina la ukumbi so naomba nijuzwe jaman
 
Mie nilipopigiwa simu ile jana,nilimuliza yule mdada km hiyi intrvw itakuwa ni oral au wrtn na documrnts za kubeba. Akanambia kuwa ni wrtn intrvw,niende na kalamu pmj na kitambulisho chenye picha yangu.
NB: Nikumbusheni muda mana nimesahau,nilikuwa nipo high high na kusaka shillingi.

Kwakuongezea nijuze eneo la tukio tafadhali
 
Guys hii ya jmos nu nyingne sio iyo waliobandika majina.mimi nilipigiwa simu juz alaf sikuweza kupokea ILA Leo nmeipigia wameniambia Ni jmos alaf Ni written wamenambia niende na kitambulsho na pen,sasa naomba kuuliza kwa aliyepigiwa simu walisema saa ngapi?maana mm simu imekatika kabla hajanambia vizuri huo mda WA interview.please help urgently guys
 
Back
Top Bottom