Pozi la ruhusa

Pozi la ruhusa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,006
Reaction score
828,771
1427813351620.jpg
 
Hilo ni funzo usimdhihaki mpakwa mafuta wa Mungu yeyote yule anayewaongoza watu katika Imani ya kweli awe wa Dini yoyote.
Yaani almanusura tumbadilishe jina kisa mdomo.
 
Amejulikana ila looh! bora nisijulikane nibakie kurishiwa maneno humuhumu
 
Hilo ni funzo usimdhihaki mpakwa mafuta wa Mungu yeyote yule anayewaongoza watu katika Imani ya kweli awe wa Dini yoyote.
Yaani almanusura tumbadilishe jina kisa mdomo.

Pengo utalipakaje mafuta! Eti mpakwa mafuta wa MUNGU!!!! Hivi mnadhani Mungu ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa eeeh!!!!?
 
Pengo utalipakaje mafuta! Eti mpakwa mafuta wa MUNGU!!!! Hivi mnadhani Mungu ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa eeeh!!!!?
Kama ungekuwa umeongea ningesema mdomo mali yako maadam umeandika mikono mali yako.ila sina uhakika sana kama hayo maneno yako yalivyokutoka una guarantee nayo.
Mwenzako Gwajima yalitoka hivyo hivyo yaani amshukuru Mungu anahuruma vinginevyo tungembadilishia jina tuu.Na misifa ya uongo kibao.
Sasa na wewe payuka payuka kama kichwa na kiwiliwi vimetenganishwa yakukuta tunakutembelea kama mwenzako.
 
Hilo ni funzo usimdhihaki mpakwa mafuta wa Mungu yeyote yule anayewaongoza watu katika Imani ya kweli awe wa Dini yoyote.
Yaani almanusura tumbadilishe jina kisa mdomo.

Uwingi wa wafuasi unawapa kiburi, wasijue kuwa wanapotoka
 
1]hayo mafuta ulimpaka wewe
2]imani ya kweli labda ya Mungu wako ila si Mungu wa mbinguni
3]if you think that was a curse then ur 800% wrong
 
Mungu hadhihakiwi! Kulitumia jina lake kwa maslahi binafsi ni jambo baya sana
Hao wote Pengo na Gwajima wote ni wale wale tu,maslahi binafsi,wala msimhusishe Mungu hapo,au kama labda ni miungu mingine unaizungumzia lkn sio Mungu muumbaji.
 
Back
Top Bottom