Power Breakfast na Kimombo- Super Sport Interview

Power Breakfast na Kimombo- Super Sport Interview

Hurricane

Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
52
Reaction score
13
Ramadhan Kareem wana jamii. Jana katika kipindi cha Power Breakfast Clouds FM walialikwa reporters wa supersport katika mashindano ya kagame. Kwa wale wenzangu wachache mliopata angalau nafasi ndongo ya kuwasikiliza watangazaji wetu kina Hando na wenzie mnaweza kutathmini kiwango cha ndunguzetu hawa katika kuchambua mabo na kuvunja mayai. It was a comedy by itself. Kumbuka hawa jamaa ndio waliongoza kumponda marehemu kayumba alipoingia bigbrother na yule mama aliyegombea ubunge wa east africa community. Yaani ilikuwa zaidi ya mbaya. Mliosikiliza mwageni zile slang zao hapa tuchangie kuwaweka vizuri. Nawakilisha.
 
Clouds haikuwahi kuwa na mtangazaji anaeweza kuongea kingereza kilichonyooka labda Sebastian Ndege tu.
 
Hando of all people! didn't expected that from Gerald Hando!
 
labda ML-Chriss kwa kipindi kile.

PJ ana degree ya communication lakin nae hakuna kitu, ingawa kiasi aljiitahidi kumsaidia Hando!!
 
kila siku lazima kuwe na mada za radio ya wafu kwa nini?
hiyo tuwaachie watu wa vijiweni
 
Clouds haikuwahi kuwa na mtangazaji anaeweza kuongea kingereza kilichonyooka labda Sebastian Ndege tu.

Babra Hassan kasoma hapo kwa watani wa jadi ! si mbaya binti anatiririka !
 
Clouds haikuwahi kuwa na mtangazaji anaeweza kuongea kingereza kilichonyooka labda Sebastian Ndege tu.

Me nadhani Reuben Ndege na Barbara Hassan wako safi ila wengine ni aibu
 
Fetty yuko vizuri..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nilikuwa kwenye dala dala nasikiliza nilitamani kucheka kwa nguvu... aibu tupu..
 
Nilikisikiliza sana kile kipindi alikuepo Babla wa Multichoice,Jamaa wa kiganda na Jamaa wa South Africa kiukweli hii lugha ya bibi ni nomaaaaaa jamani inaitaji wito!!!!! How do you say about age crisis in tanzania?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom