Power breakfast: Anayejua cv's za Watangazaji husika wa Clouds redio

Jurrasic Park

JF-Expert Member
Sep 13, 2013
3,790
6,765
Habari

Nataka kujua cv's za hawa watangazaji wa asubuhi maana nawasikia wakionge bila kupanga nini cha kuongea.

nadhani kabla ya kuingia kwenye kipindi lazima wapate angalau wasaa wa kuandaa mfano DW wanaandaa kipindi saa moja au zaidi kabla ya kwenda hewani ndio maana husikii mambo ya kuchukiza kwenye redio.

Nadhani uongozi wa clous upate management nzuri ili kuzuia maneno yanayoudhi kwenye radio kwa wafanyakazi wao.

mtu kama Millard Ayo, anafaa ata kufanya kazi CNN ila hawa wengine nahisi ni cheap labor. kwenye vipind vyao havina mvuto na kuongelea hisia zao, misimamo yao, na upeo wao.

Wanajua kila kitu imani, siasa, hisa, udaktari, upolisi, udereva, sheria, ujasiriamali, uganga, umakenika, ufundi umeme, uinjinia sasa sijui wamesoma shule gani multi purpose

Mbadilike
 
Clouds ni redio ya kiburudani zaidi, na kuna vipindi ambavyo theme yake ndio ina determine presenter ataongeaje na ataongea nini, hivyo nadhani kama hupendi bora ukaacha kusikiliza kwakuwa kuna wengi wanaofurahia na ni kati ya stesheni zinazosikilizwa sana na watu wengi hapa nnchi

Ukitaka u-serious sana labda kwenye redio nyingine.
 
Ukitaka CV za watangazaji wa Clouds Media Group ni kama kutaka cheti cha Bashite, Clouds hawana watangazaji wana Ma MC si watangazaji MC anaweza ongea au kusema Chochote na mara nying wanakuwa wamekunywa kidogo lakini Mtangazaji anakuwa na mipaka na mwongozo wa kuongea au kusema kitu hewani
 
CV muhim pale clouds ukubali kumsifia Rais na serikali yake
Pili Elimu yako isiwe ya uandishi wa habari au mtangazaji aliesomea taaluma hiyo
Tatu ujitahidi kuwa kiherehere kwa Mr Ruge
Nne uwe Mc au uliwahi kuwa Mc pahala popote
Tano ufaham miziki ya Singeri na umbea wa mtaani
Sita uwe tayari kufanya Kazi bila mkataba
Saba uwe MHAYA au mchaga
Nane hawaitaji maelezo mengine kama elimu yako ni kidato cha nne hata kama cheti chako umefoji
 
shushushu VIP nakutathmini sikumalizi, unanipotezea concentration ya msiba ujue......
377408.jpg
 
Habari

Nataka kujua cv's za hawa watangazaji wa asubuhi maana nawasikia wakionge bila kupanga nini cha kuongea.

nadhani kabla ya kuingia kwenye kipindi lazima wapate angalau wasaa wa kuandaa mfano DW wanaandaa kipindi saa moja au zaidi kabla ya kwenda hewani ndio maana husikii mambo ya kuchukiza kwenye redio.

Nadhani uongozi wa clous upate management nzuri ili kuzuia maneno yanayoudhi kwenye radio kwa wafanyakazi wao.

mtu kama Millard Ayo, anafaa ata kufanya kazi CNN ila hawa wengine nahisi ni cheap labor. kwenye vipind vyao havina mvuto na kuongelea hisia zao, misimamo yao, na upeo wao.

Wanajua kila kitu imani, siasa, hisa, udaktari, upolisi, udereva, sheria, ujasiriamali, uganga, umakenika, ufundi umeme, uinjinia sasa sijui wamesoma shule gani multi purpose

Mbadilike
Bila shaka wewe utakuwa mtangazaji wa radio tanzania,umeleta uchochezi wako hapa ili watu waichukie mawingu.
 
Habari

Nataka kujua cv's za hawa watangazaji wa asubuhi maana nawasikia wakionge bila kupanga nini cha kuongea.

nadhani kabla ya kuingia kwenye kipindi lazima wapate angalau wasaa wa kuandaa mfano DW wanaandaa kipindi saa moja au zaidi kabla ya kwenda hewani ndio maana husikii mambo ya kuchukiza kwenye redio.

Nadhani uongozi wa clous upate management nzuri ili kuzuia maneno yanayoudhi kwenye radio kwa wafanyakazi wao.

mtu kama Millard Ayo, anafaa ata kufanya kazi CNN ila hawa wengine nahisi ni cheap labor. kwenye vipind vyao havina mvuto na kuongelea hisia zao, misimamo yao, na upeo wao.

Wanajua kila kitu imani, siasa, hisa, udaktari, upolisi, udereva, sheria, ujasiriamali, uganga, umakenika, ufundi umeme, uinjinia sasa sijui wamesoma shule gani multi purpose

Mbadilike

hahahahahaaaa.....!!
 
Back
Top Bottom