Potelea mbali, acha Leo nimuunge mtani mkono

Black poison The Factor

JF-Expert Member
May 31, 2020
857
1,264
Ni masaa machache tu yamebaki kabla ya Simba kuwavaa waarabu,

Nina sababu kubwa mbili kuwaunga mkono Simba kwenye mechi ya Leo.
  1. Ni CAF kutupa vigogo wote ili tutolewe kwenye mashindano ili zibaki team wanazozitaka wao.

  2. Sina upepo na waarabu kabisa kabisa tangu Morocco atukatae.

  3. Mtani akishinda kuanzia goli mbili basi nusu ni kama kumeza maji tu.
Kila la kheri kwenye mchezo wa leo 🙏 🙏 🙏
 
Sawa
Screenshot_20240329-192405.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom