JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,966
Ukitaka kujua mwanamke wako ni mkali basi nenda naye posta mpya ya dar, walahi utamuacha kituo cha daladala maana ndo utajua kumbe wanawake wakali wapo na wako si kitu, kila nikikanyaga posta nakuwa mzito kutoka, nitajizungusha hadi jioni hata kama sina cha kufanya, kisa niwaone wanawake wakali, leo nimepishana na mwanamke nikashika kichwa, kavaa kingua chake, ilinibidi nisimame kumuangalia na kujisemea hii dunia kuna watu wanafaidi nikimaanisha jamaa anayetoka na huyo binti, mitaa ile ya jaymo, kama mwanamke huyo ni member humu basi walau tutafutane.