shabiki
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 965
- 896
kutoka morogoro mpaka dar
na hii hapana,kwani miguu yako ikoje?
kutoka morogoro mpaka dar
Jamani mam pole sana, sasa siku hiyo bam alikua wapi hakukupa hata lifti na ile baluni yake..
Kweli we nyanya. Kutoka hapo Fire hadi Jangwani unachoka!!!!.
Palm beach to mlimani chuoni.
mmh!hapana!
sasa ulimudu vp kumwoka mateka wako bam bila kutokea ugomvi wa chupa na meno??Bam alikuwa kwenye nyumba yake ndogo hapo jangwani
ikabidi nimfuate huko huko ili tuondoke kwenda zetu home.
Heshima kwako mkuu, unakaribia kuvinja rekodi yanguMaili Moja( kibaha) to coco beach
sasa ulimudu vp kumwoka mateka wako bam bila kutokea ugomvi wa chupa na meno??
hii yakwako kiboko mkuu, kwanini hukumalizia mpaka kimara tu mkuu
ni kweli asee,nimeona!hatufanani mkuu
iko kama ya View attachment 114932
sasa wangu,unavaaje modal?
hii ni ya ke au meiko hivi
![]()