Deushinscky
Member
- Jul 14, 2014
- 75
- 39
Jaman naombeni mwenye uelewa wa kufahamu lin ajira za uuguzi ni lini zitatoka kwa maaana kila mtu anaongea lake hata bunge nalo linatoa maelezo ambayo yanakingana naomba msaada kwa hilo
Ukipata majibu nami nijulishe!Jaman naombeni mwenye uelewa wa kufahamu lin ajira za uuguzi ni lini zitatoka kwa maaana kila mtu anaongea lake hata bunge nalo linatoa maelezo ambayo yanakingana naomba msaada kwa hilo
Ww ni ke au me?Jamani kupitia humu Kama kuna mtu ana hospitali au dispensary anisaidie nije nifanya kazi au ya kujitolea tu ili Kama ataridhika na Mimi ataniajiri nimechoka kusubiri serikali na namuakikishia sitahama niende popote pale.nimesomea uuguzi (nurse midwife) nilisomea mvumi. Sifa yangu pia nina uwezo wa kufanya kazi kama daktari.
Umesikia ndg muheshiwa alivyosema kuhusu ajira???Ukipata majibu nami nijulishe!
Nilikataa tu kujaza server ya JF
Kasemaje Mkuu?Umesikia ndg muheshiwa alivyosema kuhusu ajira???
hakuna ajira kutoka serikalini!..hadi miezi miwili ipite!....Kasemaje Mkuu?
Aisee!! Lakini Miezi miwili sio mingi tuta subiri.hakuna ajira kutoka serikalini!..hadi miezi miwili ipite!....
Jamani kupitia humu Kama kuna mtu ana hospitali au dispensary anisaidie nije nifanya kazi au ya kujitolea tu ili Kama ataridhika na Mimi ataniajiri nimechoka kusubiri serikali na namuakikishia sitahama niende popote pale.nimesomea uuguzi (nurse midwife) nilisomea mvumi. Sifa yangu pia nina uwezo wa kufanya kazi kama daktari.