Nimeamua kuingia humu ndani ili nitoe majibu ya maswali yenu.
kuhusiana na selection za kidato cha tano mwaka huu ni kweli zimechelewa ila hii inatokana na utaratibu mpya wa utoaji wa post hizo. ila nina penda kuwahakikishia ya kuwa mbaka tar 3 ya mwezi ujao selection zitakuwa zimesha tangazwa kwani walianza na kutoa majina ya wanafunzi kwa ajili ya usaili wa jeshi la polisi na ndio watoe post zenu.
tar 30 no posts daaaH.serikali tumeikosea nini.
Wajumbe habar ni kwamba leo ndo ilikuwa the middle day for the minister to announce about 4m4 poxt, vuta xubira mida ndo hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Wajumbe habar ni kwamba leo ndo ilikuwa the middle day for the minister to announce about 4m4 poxt, vuta xubira mida ndo hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
yani hadi mori ya kusoma inaondoka yani
Wajumbe habar ni kwamba leo ndo ilikuwa the middle day for the minister to announce about 4m4 poxt, vuta xubira mida ndo hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
By yxtel:
Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3
*******msaada ni wajib wakila mtanzania***
munaotoa quote za uongo cjui munawaza nn vchwan mwenu.