Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
mkuu,
siku zote ww ni fundi wa kutia mikwala
 
HUU MKWALA NI NOUMAAA

bwana we ni fundi wa kutia mikwala
 
Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3
*******msaada ni wajib wakila mtanzania*******
 
Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3
*******msaada ni wajib wakila mtanzania*******
SIO KAWAIDA

wewe una tatizo katika ubongo wako
 
Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3
*******msaada ni wajib wakila mtanzania*******

kwanza nakupongeza kwa kuwa na credt nne ila nakushauri tafuta thread iliyo andikwa ("ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne 2014") hao watakusaidia kwasababu wapo kwa ajiri ya msaada kama huo pia watakuvumilia ukiwa unaposti kila siku swali moja.
 
Niliwaambien Nimechoka Kuchungulia Jukwaan Kila Siku Maana Pesa Ya Kununua Bando Nayo Imeshakata Mpaka Nisubl Asubuh Na Air Tell So Zikitoka Mnijulishe 0757601630
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…