Jamani wana jamvi naomba msimponde aliye ipost Hiyo maada kwa ukwel serikali yetu haina muda na elimu mtiahani watu walifanya mwezi Nov mwakani tokeo ilitoka mwezi wa 2 madogo wanatakiwa kuripoti mashuleni mwezi July Lkn mpaka sasa selection Bado na hawajui wataenda, wapi na combination gani na uwezo wa mzazi ukoje Jamani CCM wameoza kwa ukwel hamna namna nyingine