natangaza rasmi kuzitoa kesho jmosi trh 27 coz nimechoka na kelele zenu.HALAFU HUYO ANAEULIZA SWALI MOJA KILA CKU AACHE2 COZ HAMUWEZ KUMSAIDIA KAMA ANAVODAI(nisaidieni wakuu nimepata c....)NANI ALIMWAMBIA ALEGEZE MSULI? na akiuliza tena!
kwa mtu mwenye akili vizuri na anayetegemewa na taifa kama hili basi hana budi kufanya vitu kwa uhakika sasa wewe naona unaropoka tu., bila kutaja umepata wapi hizi taarifa, hujui kwamba zisipo toka kesho utakuwa umetoa taarifa za uongo katika jamii kuwa makini sana kijana na taarifa zako.