Post za jkt kwa vijana wa kujitolea

Post za jkt kwa vijana wa kujitolea

Arno bano

Member
Joined
Aug 21, 2013
Posts
16
Reaction score
1
Hivi jamani naombeni kuuliza ivi izi nafasi za jkt kwa sisi tulio tayari kujitolea kwa taifa letu zinatoka lini maana tumesubiri sana tangia mwezi wa saba mpaka huu ni wa kumi plz kwa yeyote mwenye valid information na atujuze nitashkuru sana kwa wote mtakao kuwa na mchango pia ata kwako we2 utakaye amua kukandia na kuponda ushukuriwe
 
Hii crush programm iliyoanzishwa inaweza kuleta mabadiliko kwenye mfumo uliokuwa umezoeleka wa kuchukua vijana wa kujiunga na JKT, Tujiandae na kusikia no JKT for Form 4 and below.
 
Back
Top Bottom