Mtoto Wa fesibukuet mpk xx hv yanakaribia kutoa wanaoenda jkt af sie tumewekwa pending tuhuyu mama sijui kazi imemshinda

Na wewe mtaani kwako wanakuita msomi unaye tumia x et "mpk xx hv" hivi ni nani aliye waroga enyi watoto wa kizazi cha digitali? Mimi huwa sitarajii kuona mtu tena graduate wa form four au six na kuendelea unafanya upuuzi kama huo halafu hapo utakuta ni kijana wa kiume unayefanya upuuzi huu... Hizo xxxx kazitumieni huko Facebook sio huku.et mpk xx hv yanakaribia kutoa wanaoenda jkt af sie tumewekwa pending tuhuyu mama sijui kazi imemshinda
Kazi mbaya siyo mchezo mwema! We are talking about life, our survival and then you are making a hoax!Leo inatoka nmeshaongea nao leo tegemea kuna vitu tulikuwa tunavimalizia
Kitaa apafaiLeo inatoka nmeshaongea nao leo tegemea kuna vitu tulikuwa tunavimalizia
Kweli mkuu,maana kitaan mchosho Sana'a,wazazi wajiandae aiseeeLeo inatoka nmeshaongea nao leo tegemea kuna vitu tulikuwa tunavimalizia
Czani kama ni leo kweli bwana chidy boy .....wacha tuvute subiraKweli mkuu,maana kitaan mchosho Sana'a,wazazi wajiandae aiseee
Usiku saa 23:59Form five selection ni lini jamani. Kuna shule za private zilianza masomo ya a level March, 2017!. Za serikali mpaka leo hata machaguzi bado. Ndalichako , you are failing terribly! With this new system of university application, abandoning CAS, we are done! Ndalichako, you are failing!
Tania watu, nawe utataniwa!Usiku saa 23:59
Wapi apoNdo tunasubiria hapa
mkuu umenijuaje aisee!!?Mtoto Wa fesibuku![]()
mkuu hata baraza walipokuwa wanasahisha makaratasi yangu niliwaandikia hivyo hivyo tu na bado nikagonga div two! we kama nan unipangie aiseeNa wewe mtaani kwako wanakuita msomi unaye tumia x et "mpk xx hv" hivi ni nani aliye waroga enyi watoto wa kizazi cha digitali? Mimi huwa sitarajii kuona mtu tena graduate wa form four au six na kuendelea unafanya upuuzi kama huo halafu hapo utakuta ni kijana wa kiume unayefanya upuuzi huu... Hizo xxxx kazitumieni huko Facebook sio huku.



