position za kazi viwandani

Nakwambia hivyo kwa sababu mimi ni HR katika kiwanda,naelewa ninachokwambia.
Mkuu u ndugu nikusaidiana nipe fulsa za kiwandani kwako nikuombe kazi.
Kwanza hakuna kazi ya professional kidato cha sita hilo ni moja.Kwa hiyo ukitaka kazi ya kiwandani ni lazima utafute kazi za mikono sawa na ambaye hajakanyaga shule,suala la kuwa msimamizi halitategemeana na wewe kuwa kidato cha sita bali uzoefu katika kazi husika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom