Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,567
Mkuu nitafutie kibArua huko kiwandani ila mi ni LA saba tuNakwambia hivyo kwa sababu mimi ni HR katika kiwanda,naelewa ninachokwambia.
Mkuu nitafutie kibArua huko kiwandani ila mi ni LA saba tuNakwambia hivyo kwa sababu mimi ni HR katika kiwanda,naelewa ninachokwambia.
Mkuu nafasi ya ajira ikipatikana basi, mm ni ke, 24y,elimu form four.Nakwambia hivyo kwa sababu mimi ni HR katika kiwanda,naelewa ninachokwambia.
Mkuu u ndugu nikusaidiana nipe fulsa za kiwandani kwako nikuombe kazi.Nakwambia hivyo kwa sababu mimi ni HR katika kiwanda,naelewa ninachokwambia.
Kwanza hakuna kazi ya professional kidato cha sita hilo ni moja.Kwa hiyo ukitaka kazi ya kiwandani ni lazima utafute kazi za mikono sawa na ambaye hajakanyaga shule,suala la kuwa msimamizi halitategemeana na wewe kuwa kidato cha sita bali uzoefu katika kazi husika.
Nina diploma ya pharmacy mkuu niangalie pakuniweka kwenye kiwanda unachofanya kazi. Namba yang ni 0658047048Nakwambia hivyo kwa sababu mimi ni HR katika kiwanda,naelewa ninachokwambia.