position za kazi viwandani

position za kazi viwandani

jimmy jimble

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
216
Reaction score
218
je nafasi zipi viwandani huwa na unafuu mana naskia kazi za viwandani ni za kinyonyaji
 
Swali lako ni pana sana,unamaanisha nafasi ya kitaaluma (professional) kama Mhasibu, HR, Engineer n.k au kazi za kutumia nguvu.
 
basi kaz za mkono wakuu hapo si nakua msimamiz kabsa
 
Kwanza hakuna kazi ya professional kidato cha sita hilo ni moja.Kwa hiyo ukitaka kazi ya kiwandani ni lazima utafute kazi za mikono sawa na ambaye hajakanyaga shule,suala la kuwa msimamizi halitategemeana na wewe kuwa kidato cha sita bali uzoefu katika kazi husika.
 
Nakwambia hivyo kwa sababu mimi ni HR katika kiwanda,naelewa ninachokwambia.
so nachohitaj niwaambie nina uzoefu flan wao wamenambia jichagulie position
em nisaidie tu angle ya kufit nijidai hapo nina uzoefu
 
Duuuh wewe mshikaji noma.... kama ni form six wewe nenda tu kwa kazi yoyote ile hata ikiwa ya kinyonyaji wewe piga tu
 
so nachohitaj niwaambie nina uzoefu flan wao wamenambia jichagulie position
em nisaidie tu angle ya kufit nijidai hapo nina uzoefu
mmmmh!!wamekwambia ujichagulie position! hiyo kali. Chagua kuwa Managing Director haa!haa! jokes.Hapo sasa inategemeana na hicho kiwanda wanafanya nini na kama una kauzoefu kidogo na hicho wanachofanya.
 
kazi za viwandani unapanda cheo kutokana na uzoefu wa muda uliofanyakazi,huwezi ukaanza kazi kwakupanda cheo tu mpaka utaabike ndo utafaidi matunda otherwise uombe kazi za salesman au ufundi/operator
 
hahaha labda kiwanda n kdogo kinaanza au kiko kinsemvule huko bush
Kweli kabisa.Hicho kiwanda cha kuambiwa chagua position yoyote unayotaka hakianani najaribu hata kukivutia taswira yake haiji kichwani.
 
Back
Top Bottom