Tabia ya BUNGE letu kujigeuza bodi ya wakurugenzi ya serikali inaudhi sana. Wabunge wanakimbizana na posho wanazolipwa wajumbe wa bodi za taasisi na mashirika ya UMMA! Tutafika kweli? Ni vema wakakaa wakaamua ni mshahara kiasi gani wanataka walipwe kuliko kuendelea kukwapua pesa za umma kwa mtindo huu huku wakikwepa kodi.