Posho za wabunge: Kigwangala on January Makamba

Kaka nia unatangaza lini?
Kama posho kuongezwa laki 200,000= tu mnapiga kelele, sasa unategemea Le Baharia aache kupiga box lake @ NYC aje kupigizana kelele na nyinyi msiotaka wabunge waendeshe Ferari?
 
Utaongelea wapi ndani ya vikao vya CCM wakati umezungukwa na watu wasiokuwa na huruma kwa watanzania? Hivi kama mtu anafikiria mama mjamzito abebwe na bajaji wakati yeye akitumia V8 atakutetea mimi na wewe tunaotembea kwa miguu yetu ingawa tumekondeana sababu ya dhiki? January anaongea hivyo maana 95% ya wabunge na viongozi wa ccm ni corrupt na huwezi kupenyeza hoja ya kutetea raia ndani ya ccm kwa kugusa maslahi yao!
This is one of the best posts in JF.
Fikiri na ujiulize mtetezi wako ni nani? ana fikra gani? then, chukua hatua mwenyewe
ukitaka kununua bastola na pingu kama J. Muro, sawa!
Ukitaka kununua manati au kombeo, sawa,!!
ukitaka kusema peoples' power tu kwa maneno matupu, sawa!!

Na ukiamua kukaa kimya na kwenda kusheherekea miaka 50 ya UHUNI wa CCM na serikali yake, sawa tu!!
 
Kama posho kuongezwa laki 200,000= tu mnapiga kelele, sasa unategemea Le Baharia aache kupiga box lake @ NYC aje kupigizana kelele na nyinyi msiotaka wabunge waendeshe Ferari?

kimsingi @mmoja anahaki ya kutoa mawazo lakini ni wapi na yatapokelewa na nani hapo ndio kiini cha tatizo,ukiona hivyo ujue January ametoa kwenye sisimu ahaa ccm amekataliwa hivyo kuamua kutoka nje na kueleza kuto unga mkono hoja hiyo.
Nina chojiuliza mimi kwake ni je ataacha kusaini ili asichukue au ni kiini macho kwa sisi walala kwenye CHAGA bila godoro,MHE MB ingiza majibu 2kusome siyo 2 kueleza.
 
Hivi punde Mh. Hamis Kigwangala ameweka status yake Facebook juu ya Mh. January Makamba:

“Mhe. January Yusuph Makamba (MP, M-CC, MNEC) has the following platform ya kuongelea: Bunge, Kamati Kuu ya CCM, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Sekretariet ya CCM, Kamati ya Uongozi ya Bunge...hivi ni haki na halali kwa yeye na nafasi yake kutoa kauli ya kupinga posho hadharani ilhali ana fursa zote hizi za kuzuia ama kurekebisha? Kama hazitaki hizo posho si angeweza tu kuacha kuzichukua, ama angeweza kushawishi chama na serikali kwamba hazifai na zitolewe ama zisiongezwe! Wenzangu mnaonaje hili! Hivi wana-CCM wenzangu tumerogwa ama?”

Tuna hitaji
 
Hivi punde Mh. Hamis Kigwangala ameweka status yake Facebook juu ya Mh. January Makamba:

“Mhe. January Yusuph Makamba (MP, M-CC, MNEC) has the following platform ya kuongelea: Bunge, Kamati Kuu ya CCM, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Sekretariet ya CCM, Kamati ya Uongozi ya Bunge...hivi ni haki na halali kwa yeye na nafasi yake kutoa kauli ya kupinga posho hadharani ilhali ana fursa zote hizi za kuzuia ama kurekebisha? Kama hazitaki hizo posho si angeweza tu kuacha kuzichukua, ama angeweza kushawishi chama na serikali kwamba hazifai na zitolewe ama zisiongezwe! Wenzangu mnaonaje hili! Hivi wana-CCM wenzangu tumerogwa ama?”

Tuna hitaji mbunge Kama January kwani CCM sio mahali pakutolea mawazo ila nimahali pakuporea rasilimali za Taifa mifano iko wazi wabunge wengi wa CCM wameingia bungeni kupora rasilimali za Taifa nani asie Mjua Kigwangwala bungeni kaingizwa nanani
 
.......Mbunge wangu Kigwngala nakusifu kwa kulumbana Mitandaoni,endeleana moyo huo
Kumbuka kuwa Puge,Mwakashanhala,Kanolo Hakuna Mitandao hii.....................
 
Kwani yeye hili dukuduku lake juu ya Januari makamba kaliweka wapi? kwa nini asingelipeleka kwenye vikao vya vyama?
 

  • [h=6]Hamisi Kigwangalla
    [/h][h=6]Mhe. January Yusuph Makamba (MP, M-CC, MNEC) has the following platform ya kuongelea: Bunge, Kamati Kuu ya CCM, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Sekretariet ya CCM, Kamati ya Uongozi ya Bunge...hivi ni haki na halali kwa yeye na nafasi yake kutoa kauli ya kupinga posho hadharani ilhali ana fursa zote hizi za kuzuia ama kurekebisha? Kama hazitaki hizo posho si angeweza tu kuacha kuzichukua, ama angeweza kushawishi chama na serikali kwamba hazifai na zitolewe ama zisiongezwe! Wenzangu mnaonaje hili! Hivi wana-CCM wenzangu tumerogwa ama?[/h]Share · 20 hours ago ·
    • 22 people like this.

    • 50 of 240


      • Bernard Kindoli Mmerogwa indeed! If you’re conscious is clear sema usiogope. Mbunge posho au Mbunge Mzalendo? You don’t need to consult your party on this issue cos haiko kwenye manifesto wala fundamental beliefs za chama chetu. Big Up Makamba15 hours ago


      • Mohamed Ifanda ‎@all i knw januar jaman ni mtu makini na anaestahil kusimamia maamuz sahihi kama haya namkubali sana lakin asijekumwga baba yake aliyechangia kuiua ccm14 hours ago


      • Khalid Issah Lakini Muhamed ujawai kumuona mtoto wa Jambazi anakua askofu/sheikh na yote mabaya kwao yanasahaulika@Ifanda14 hours ago


      • Dixon Mpemba hamuambiliki!!!14 hours ago


      • Ronalld Ngalai Makamba yupo sahihi, kwa kuwa yale ni maoni yake binafsi. Tutawang'oa wote, Nchi hii iongozwe na vijana shupavu.14 hours ago · 1


      • Andrea Ngobole Kaka hili ni jambo la mcng sana ila kumbuka January Makamba anajivavadua kisiasa so ucmshangae saaaaaana its just a tactic za kutoka 14 hours ago


      • Babu Maziku mheshimiwa hayo ni machache juu ya mengi ya wanasiasa. ambao wanang'ata na kupuliza, ndo hao hao wanaowatetea ht wawekezaj wanaokandamiza wananchi.14 hours ago


      • Ronalld Ngalai Is it Ngobole? Hata kama mtu anataka sifa, na sifa hizo zikalisaidia Taifa basi bora iwe hivyo jamani.14 hours ago · 1


      • Ronalld Ngalai Maziku nalifanyia kazi. Wawekezaji wanatukera mpaka14 hours ago


      • Khalid Issah ‎@ALL, MIAKA HAMSINI TUNAIMALI KWA MABADILIKO MAKUBWA,ISSUE KA HII ZAMANI TUNGEMLAUMU MAKAMBA AESHIMU CHAMA ILA JAMAA ALIYETOA MADA ATAWAAMBIA NA WENZAKE KUA TUMEBADILI14 hours ago


      • Joseph Kundy hamisi acha unafiki....mwaka 2005 madaktari tuligoma kwa ajili ya kupigania haki za kupata maslahi bora....nikimanisha kuwa hata leo bado maslahi kwa watumishi wa umma ni madogo mno.......hivyo kimsingi kuongeza posho za wabunge ni kukera wananchi hasa watumishi wa umma . Umesahau kuwa tulipinga kutokuwa na usawa kwenye kugawana rasimali za nchi kwa wachache mwaka 2005 ? iweje leo wabunge posho ipande kwa asilimia kubwa ilihali mbongo analia njaa ? jamani tuache usanii ,maisha magumu na kupanda kwa gharama za maisha ni kwa kila mtu.14 hours ago · 2


      • Eng Baraka Manyama unakosea sana Dr, yaaaani nimesikitika sana kuona hii kauli yako13 hours ago


      • Joseph Kundy why13 hours ago


      • Andrea Ngobole Yap Ronald! 13 hours ago


      • Matokeo Simba Ni dalili ya wana ccm wengi kufilisika mission na vision,natabili anguko la chama13 hours ago · 3


      • Sadock Sabas Kihonyi ‎..KWANI HUJUI??? Hamisi Kigwangalla13 hours ago


      • Daud Yunus Inashangaza kuona mbunge kijana tena msomi ana mind set finyu na iliyopitwa na wakati kiasi hicho! Binafsi sioni kosa la mh. January Makamba. Tatizo kubwa katika nchi nyingi za kiafrika ikiwemo Tanzania ni lack of transparency na ndio maana tuna tatizo kubwa la rushwa na upuuzi huu wote wa kujiamulia mambo kinyume cha taratibu. Linapokuja suala la kutetea haki ya wanyonge it does n't matter mtu anaongelea kwenye platform gani. Well, i can see the point Dr. Kigwangalla is tryin' to make, pengine anadhani mh. January Makamba anatafuta publicity kwa kufanya hivyo lakini mimi naona ni bora huyo anayetafuta publicity kwa kutetea haki za wanyonge! Tanzania is full of greedy and self-serving leaders who are using their proxy in power to accumulate wealth at the expense of the majority. For this reason, wengi hawawezi kuunga mkono juhudi za Mh. Makamba kupinga ongezeko la posho. Time has come to redress this practice! Thumb up for comrade January Makamba, saa ya ukombozi ni sasa, well done bro!!!!!13 hours ago · 4


      • Mackline Petrova Pierce Dr Ushafilisika mawazo nawe, we mbona unasehemu nyingi tu ya kutoa haya malalamiko yako lakin umekuja kuyatolea hapa facebuk? N watanzania wangap wanauezo wa kuingia facebuk? Kama ndivo na Hon January mwache awe hajaona izo platfom zote! Niambie ungekua wewe Hon January ungetumia platfom ipi kati ya hizo????????12 hours ago


      • Andrew Chatwanga huo ndio ugonjwa wa sisi wanaCCM nadhani kuna umuhimu sasa kuhakikisha tunaanzisha Chuo cha mafunzo kwa wale wote wanaopata uongozi wa Chama najua tunacho Chuo Cha Mahiwa Iringa Ambacho ni Cha umoja wa Vijana ambao pia hawakitumii tuwapeleke akina January Makamba na wenzake wengine ambao kimsingi hawajui maadili ya uongozi na pia Spika Makinda amewahi mno kupambana na katibu wake wa bunge Dkt kashirila kuhusu posho hizo mnatuchanganya wanaCCM wenzenu12 hours ago


      • Emmanuel Joseph Ntoga Hamjarogwa mheshimiwa ila MAGAMBA ndo yanawasumbua, jitahidini muyavue kisha tuonane 201511 hours ago


      • Dickson Elia Malila ccm umekufaaaaaaaaaaaaa on huyo mmbunge anaongea hyo kwelim uwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii11 hours ago


      • Deusdedit Maganga Kwa hongo hiyo ya posho NI KUUNGA MKONO HOJA KWA 100%11 hours ago


      • Yohana Igenge Yohana ‎@Kigwangala makamba yuko sahihi hajatumwa na chama wala sekeretariati ya ccm amechaguliwa na wananchi kama wewe unaona hili la posho linakukwaza subili adhabu yako na yenu ipo kalibu, tumechoka hamubembelezeki kila siku ni watu wa scandles hv ninyi wabunge wa ccm mnatumia akiri au mnafikiri sisi tuliowachagua ni wajinga eti sasa tunatangaza vita na wabunge wote wajinga tukianza na sipika wenu.11 hours ago


      • Harrison Joseph Kassimba heri kujitenga na maamuz mabovu kuliko kukumbatia kwa kivuli cha nafas yako, watu makin wakati wote ufanyanya maamuz sahihi. 11 hours ago · 1


      • Yustina Adam tetea maslai ya coleege achana na siasa ya majungu10 hours ago


      • Beatus Nchemwa heri yake Makamba ambaye hawezi kuvumilia upumbubavu wa kuongeza posho ilhali hali ya uchumi wa taifa letu ukiwa hoi! ILA wachache na wanafiki wanaoweza kuvuta subira kwa mlolongo mrefu wa Platform ambazo wakati wananchi wakiumia kwa umaskini!10 hours ago


      • Ezekiel Lameck ccm kungekuwa na wabunge 20 kama january makamba,hakika ccm isinge ishiwa mvuto kwa wananchi,, hawa wabunge wengine mko kwa masilahi yenu 2... inasikitisha sn kuona mbunge anatetea posho,, big up makamba10 hours ago


      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe mh.wa nzega kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago


      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe mh.wa nzega kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago


      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago · 1


      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago


      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago


      • Beatus Nchemwa Poleni sana wananchi wa Jimbo la NZEGA Kwa kuwa na mbunge Kijana ila mwenye mtazamo wa KIZEE!Ambao daima hauna tija kwa jamii yake inayomtegemea yeye kama mbunge na zaidi ya yote Akiwa KIJANA! POLENI SANA NDUGU ZANGU!10 hours ago


      • Athuman Malendemla Tunafahamu kuwa hata bungeni huwa kuna hoja zinapita kwa mtindo wa wengi wape inawezekana hata huko kwenye M-CC, MNEC pia mtindo huu unatumika hata akipinga hatafanikiwa. Dr kumbuka tunatetea wananchi na si chama hivi inaingia kweli akilini mbunge alipwe laki mbili kwa siku au mnataka kuweka historia ya kuwa bunge lilliloiingiza Tanzania kwenye machafuko? Wakati mafuta ya taa yanapanda bei kila kukicha, huduma mbovu za kijamii nyie mchukue hela zote hizo. Kama mkate ni mdogo basi tule wote sawa sio nyie mchukue robo tatu na sisi mtuachie robo. Manajenga chuki kwa wananchi mwishowe tutaingia vitani.9 hours ago


      • Nicolaus Lutare DOCTOR,kaa ukijua humu hautapata m2 wakumpinga January.ILA MJINGA AKIJANJALUKA MJANJA HUWA MATATANI.KUMBUKENI HILO JASHO LA MNYONGE MNALOLINYONYA LITAWAGHALIMU ".......nyie mnaona laki 2 nyng kudadadeki huyu mama ndio kanikera ameidharau laki 2 .KWELI WANAWEKWA WATU NGAZI ZA JUU ILI KU2NYONYA.ANGELIKUWA Babu SITA NAAMINI HAYA 2cngeyackia 8 hours ago


      • Nicolaus Lutare DOCTOR,kaa ukijua humu hautapata m2 wakumpinga January.ILA MJINGA AKIJANJALUKA MJANJA HUWA MATATANI.KUMBUKENI HILO JASHO LA MNYONGE MNALOLINYONYA LITAWAGHALIMU ".......nyie mnaona laki 2 nyng kudadadeki huyu mama ndio kanikera ameidharau laki 2 .KWELI WANAWEKWA WATU NGAZI ZA JUU ILI KU2NYONYA.ANGELIKUWA Babu SITA NAAMINI HAYA 2cngeyackia 7 hours ago


      • Mayenga Nzobe anayo haki maana hata angepinga peke yake bila kuungwa mkono na wengine ni kazi bure coz mwisho wa siku mnaulizwa wangapi wameafiki so he is very right as for me!Mbona hata ww ulipopigwa vibao na police huko nzega ulidai utajiuzulu na mpaka leo hii upo so usione kibanzi kwenye jicho la mwenzio wakati kwako kuna bolt kigwangala na lazima pia utazame mfumo wa maamuzi ya mwisho uko vp?5 hours ago


      • Saul Bichwa Mi nilithema, mkakataa!
        Ukiambiwa una akili kama Kigwangala utafanyaje?4 hours ago


      • George Ambrose Shayo Dr. January ana haki na legitimacy ya kuonelea hilo swala popote. The legitimacy is drawn from the Consitution. "FREEDOM OF EXPRESSION" Haki hiyo haata limit where, how, when and at what manner a person should enjoy the right isipokuwa imesema usivunje sheria. So January yupo right. Na ninaamini hata bungeni atayasema hayo Muungeni mkono. Swali langu kwako Dr, Hivi gharama za maisha kupanda ni Dodoma tu katika Nchi hii???????????3 hours ago


      • George Ambrose Shayo Ama kweli Dr. kwa kauli yako imenidhihirishia ni namna gani ninyi wabunge wengi wa ccm mlivyo walafi, waroho na wezi wa Keki ya Nchi msiyotaka kugawana na wananchi kwa usawa. Waacheni wa kinajanuary walio wachache waitetee nchi yao.3 hours ago


      • Eng Denis Hyera acha woga we dr wa nguruwe,huko unakotaka akaongelee ndo kulikotufikisha hapa tulipo kwenye maisha magumu,bora alivyoongelea huku kwa wananchi...mahaka ya wananchi...acha UNAFIKI we mbunge wa kuchakachua.2 hours ago


      • Said Uyaga Kaka cha msingi maisha hayajapanda kwa wabunge ni kwa wanainchi wote na siraha ya kujikwamua kwenye mfumuko na changamoto za mabadilko ya gharama za maisha si kuongeza fedha kaka. maoni yangu mimi ni serikali kuanzisha winda ndani ya nchi ili wanachi apate ajira. mpaka sasa kuna watu wameliza vyuo wanasubili ajira kwa mfano walimu na kada zingine lakini tungekua na viwanda walau kila mkoa hawa watu wangwpata mahala pakujishikiza2 hours ago


      • Eng Denis Hyera we huna habari kwamba wanaCCM wote ni wachawi mmerogwa,hayo mnayoyafanya ya kulihujumu taifa we unafikiri ni sawa kama sio kurogwa..2 hours ago


      • George Kidindima Dr. mbona unatoa kauli za ajabu ajabu wewe? amin usiamini huwezi kujilinganisha na January wewe. platform kitu gani? unaelewa fika kuwa hizo platform wala hazisikilizi mawazo ya wachache hata yawe ya maana kiasi gani. bora atoe mawazo yake hadharani ili kila mwananchi anayelaani kuongezeka kwa posho hiyo kwakufuru.about an hour ago


      • Ntukula Boaz Wewe kigwangala ni mwalimu wa somo la biology hapo badri sekondari nzega na siyo docta wala nini napata mstuko kuona unaandika status ya kishamba kama hii na wewe ni muheshimiwa kijana kweli unawaongoza wqjinga hao wanyamwezi wa nzega ndio maana ulibebwa hukushinda hata kura za maoni.shame on you.unatetea posho sisi wananchi maisha magumu huridi tena bungeni wewe 2015 nakuja.kuchuana na wewe najua hutaniwezaabout an hour ago · 1


      • Bruno Minja m sad u r repeating the same mistake he dd,not takin ths to the internal vikao vya chama!about an hour ago


      • Mycle Samson Mwambyasyo NAKUONEA HURUMA SANA. HIV MBONA DOCT, MAMBO YAKO HAYAFANAN NA UDOCT WAKO, KWA TAARIEA YAKO HATA HAO WALIO KUBEBA KWENYE UBUNGE WANAJILAUMU KUKUPA UBUNGE. SAFAR HII IMEKURA KWAKO. YAMAKAMBA WE YANAKUHUSU NN? UMBEA, UMBEA TU UNAKUSUMBUA. HUJATUFANYIA LOLOTE WANANZEGA. HAPO TU UCHAMA UNAPOISHI UMEWAFANYIA NIN JIRAN ZAKO. HOVYO TU.about an hour ago


      • Deo Mtui Hamis na wewe sasa tuanaanza kukushangaa kama unaweza kuwa wa kawaida.............Amekuwa akilieleza hili bungeni na naamini kwenye maeneo husika uliyoyataja na zaidi ameonyesha njia kwa kuzikataa lakini kwa kuwa hasikilizwi na ana uhuru wa kifikra wa kusema na uhuru wa kujieleza bado ana-uhuru wa kusema kwa kuwa ndicho watanzania walio wengi waliokata tamaa wanataka kusikia......kwa wewe kugeuka ghafla unatutia hofu kwa udhaifu unaouonyesha katika kutetea maslahi ya wengi............Wabunge si watumishi wanaoishi hewani.....ni watumishi kama ilivyo waalimu na wengineo ila ninyi kwa uchache wenu tayari mmependelewa sana,sasa kama inatokea mnataka kujipendelea zaidi na kutengeneza gap kati yenu na mnaopaswa kuwaongoza hilo halikubaliki na kwa taarifa tu kwa nyie mnaozitetea mbele ya Umma ANGUKO LENU HALIPO MBALI SANA!!!!!!!!25 minutes ago · 1


      • Prosper Betram Bro mimi sio mwana CCM,kwa maoni yangu amejidhihirisha kuwa yeye ni mtetezi halisi wa wanyonge na hayupo pale kujinufaisha.Na kwa hili watanzania wote wanyonge watamuheshimu na ataweka historia.11 minutes ago


      • Prosper Betram Kwa kweli brother nyinyi mnaona sawa lakini impact yake ni kubwa sana na very soon mawaziri na viomgozi wataanza kupigwa mawe na wananchi walalhoi waliokata tamaa.7 minutes ago




 
Hivi punde Mh. Hamis Kigwangala ameweka status yake Facebook juu ya Mh. January Makamba:

“Mhe. January Yusuph Makamba (MP, M-CC, MNEC) has the following platform ya kuongelea: Bunge, Kamati Kuu ya CCM, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Sekretariet ya CCM, Kamati ya Uongozi ya Bunge...hivi ni haki na halali kwa yeye na nafasi yake kutoa kauli ya kupinga posho hadharani ilhali ana fursa zote hizi za kuzuia ama kurekebisha? Kama hazitaki hizo posho si angeweza tu kuacha kuzichukua, ama angeweza kushawishi chama na serikali kwamba hazifai na zitolewe ama zisiongezwe! Wenzangu mnaonaje hili! Hivi wana-CCM wenzangu tumerogwa ama?”

Kwani January Makamba si mtanzania? Mtu kama mimi nitazungumzia wapi kama sio JF na FACEBOOK? Na endapo akiongelea huko atasikika? Sisi wananchi anaotuwakilisha tutajuaje kama yupo Accountable kwetu? JANUARY MAKAMBA KAFANYA VYEMA!
 
  • Hamisi Kigwangalla


    Mhe. January Yusuph Makamba (MP, M-CC, MNEC) has the following platform ya kuongelea: Bunge, Kamati Kuu ya CCM, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Sekretariet ya CCM, Kamati ya Uongozi ya Bunge...hivi ni haki na halali kwa yeye na nafasi yake kutoa kauli ya kupinga posho hadharani ilhali ana fursa zote hizi za kuzuia ama kurekebisha? Kama hazitaki hizo posho si angeweza tu kuacha kuzichukua, ama angeweza kushawishi chama na serikali kwamba hazifai na zitolewe ama zisiongezwe! Wenzangu mnaonaje hili! Hivi wana-CCM wenzangu tumerogwa ama?

    Share · 20 hours ago ·
    • 22 people like this.
    • 50 of 240
      • Bernard Kindoli Mmerogwa indeed! If you're conscious is clear sema usiogope. Mbunge posho au Mbunge Mzalendo? You don't need to consult your party on this issue cos haiko kwenye manifesto wala fundamental beliefs za chama chetu. Big Up Makamba15 hours ago
      • Mohamed Ifanda ‎@all i knw januar jaman ni mtu makini na anaestahil kusimamia maamuz sahihi kama haya namkubali sana lakin asijekumwga baba yake aliyechangia kuiua ccm14 hours ago
      • Khalid Issah Lakini Muhamed ujawai kumuona mtoto wa Jambazi anakua askofu/sheikh na yote mabaya kwao yanasahaulika@Ifanda14 hours ago
      • Dixon Mpemba hamuambiliki!!!14 hours ago
      • Ronalld Ngalai Makamba yupo sahihi, kwa kuwa yale ni maoni yake binafsi. Tutawang'oa wote, Nchi hii iongozwe na vijana shupavu.14 hours ago · 1
      • Andrea Ngobole Kaka hili ni jambo la mcng sana ila kumbuka January Makamba anajivavadua kisiasa so ucmshangae saaaaaana its just a tactic za kutoka 14 hours ago
      • Babu Maziku mheshimiwa hayo ni machache juu ya mengi ya wanasiasa. ambao wanang'ata na kupuliza, ndo hao hao wanaowatetea ht wawekezaj wanaokandamiza wananchi.14 hours ago
      • Ronalld Ngalai Is it Ngobole? Hata kama mtu anataka sifa, na sifa hizo zikalisaidia Taifa basi bora iwe hivyo jamani.14 hours ago · 1
      • Ronalld Ngalai Maziku nalifanyia kazi. Wawekezaji wanatukera mpaka14 hours ago
      • Khalid Issah ‎@ALL, MIAKA HAMSINI TUNAIMALI KWA MABADILIKO MAKUBWA,ISSUE KA HII ZAMANI TUNGEMLAUMU MAKAMBA AESHIMU CHAMA ILA JAMAA ALIYETOA MADA ATAWAAMBIA NA WENZAKE KUA TUMEBADILI14 hours ago
      • Joseph Kundy hamisi acha unafiki....mwaka 2005 madaktari tuligoma kwa ajili ya kupigania haki za kupata maslahi bora....nikimanisha kuwa hata leo bado maslahi kwa watumishi wa umma ni madogo mno.......hivyo kimsingi kuongeza posho za wabunge ni kukera wananchi hasa watumishi wa umma . Umesahau kuwa tulipinga kutokuwa na usawa kwenye kugawana rasimali za nchi kwa wachache mwaka 2005 ? iweje leo wabunge posho ipande kwa asilimia kubwa ilihali mbongo analia njaa ? jamani tuache usanii ,maisha magumu na kupanda kwa gharama za maisha ni kwa kila mtu.14 hours ago · 2
      • Eng Baraka Manyama unakosea sana Dr, yaaaani nimesikitika sana kuona hii kauli yako13 hours ago
      • Joseph Kundy why13 hours ago
      • Andrea Ngobole Yap Ronald! 13 hours ago
      • Matokeo Simba Ni dalili ya wana ccm wengi kufilisika mission na vision,natabili anguko la chama13 hours ago · 3
      • Sadock Sabas Kihonyi ‎..KWANI HUJUI??? Hamisi Kigwangalla13 hours ago
      • Daud Yunus Inashangaza kuona mbunge kijana tena msomi ana mind set finyu na iliyopitwa na wakati kiasi hicho! Binafsi sioni kosa la mh. January Makamba. Tatizo kubwa katika nchi nyingi za kiafrika ikiwemo Tanzania ni lack of transparency na ndio maana tuna tatizo kubwa la rushwa na upuuzi huu wote wa kujiamulia mambo kinyume cha taratibu. Linapokuja suala la kutetea haki ya wanyonge it does n't matter mtu anaongelea kwenye platform gani. Well, i can see the point Dr. Kigwangalla is tryin' to make, pengine anadhani mh. January Makamba anatafuta publicity kwa kufanya hivyo lakini mimi naona ni bora huyo anayetafuta publicity kwa kutetea haki za wanyonge! Tanzania is full of greedy and self-serving leaders who are using their proxy in power to accumulate wealth at the expense of the majority. For this reason, wengi hawawezi kuunga mkono juhudi za Mh. Makamba kupinga ongezeko la posho. Time has come to redress this practice! Thumb up for comrade January Makamba, saa ya ukombozi ni sasa, well done bro!!!!!13 hours ago · 4
      • Mackline Petrova Pierce Dr Ushafilisika mawazo nawe, we mbona unasehemu nyingi tu ya kutoa haya malalamiko yako lakin umekuja kuyatolea hapa facebuk? N watanzania wangap wanauezo wa kuingia facebuk? Kama ndivo na Hon January mwache awe hajaona izo platfom zote! Niambie ungekua wewe Hon January ungetumia platfom ipi kati ya hizo????????12 hours ago
      • Andrew Chatwanga huo ndio ugonjwa wa sisi wanaCCM nadhani kuna umuhimu sasa kuhakikisha tunaanzisha Chuo cha mafunzo kwa wale wote wanaopata uongozi wa Chama najua tunacho Chuo Cha Mahiwa Iringa Ambacho ni Cha umoja wa Vijana ambao pia hawakitumii tuwapeleke akina January Makamba na wenzake wengine ambao kimsingi hawajui maadili ya uongozi na pia Spika Makinda amewahi mno kupambana na katibu wake wa bunge Dkt kashirila kuhusu posho hizo mnatuchanganya wanaCCM wenzenu12 hours ago
      • Emmanuel Joseph Ntoga Hamjarogwa mheshimiwa ila MAGAMBA ndo yanawasumbua, jitahidini muyavue kisha tuonane 201511 hours ago
      • Dickson Elia Malila ccm umekufaaaaaaaaaaaaa on huyo mmbunge anaongea hyo kwelim uwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii11 hours ago
      • Deusdedit Maganga Kwa hongo hiyo ya posho NI KUUNGA MKONO HOJA KWA 100 hours ago
      • Yohana Igenge Yohana ‎@Kigwangala makamba yuko sahihi hajatumwa na chama wala sekeretariati ya ccm amechaguliwa na wananchi kama wewe unaona hili la posho linakukwaza subili adhabu yako na yenu ipo kalibu, tumechoka hamubembelezeki kila siku ni watu wa scandles hv ninyi wabunge wa ccm mnatumia akiri au mnafikiri sisi tuliowachagua ni wajinga eti sasa tunatangaza vita na wabunge wote wajinga tukianza na sipika wenu.11 hours ago
      • Harrison Joseph Kassimba heri kujitenga na maamuz mabovu kuliko kukumbatia kwa kivuli cha nafas yako, watu makin wakati wote ufanyanya maamuz sahihi. 11 hours ago · 1
      • Yustina Adam tetea maslai ya coleege achana na siasa ya majungu10 hours ago
      • Beatus Nchemwa heri yake Makamba ambaye hawezi kuvumilia upumbubavu wa kuongeza posho ilhali hali ya uchumi wa taifa letu ukiwa hoi! ILA wachache na wanafiki wanaoweza kuvuta subira kwa mlolongo mrefu wa Platform ambazo wakati wananchi wakiumia kwa umaskini!10 hours ago
      • Ezekiel Lameck ccm kungekuwa na wabunge 20 kama january makamba,hakika ccm isinge ishiwa mvuto kwa wananchi,, hawa wabunge wengine mko kwa masilahi yenu 2... inasikitisha sn kuona mbunge anatetea posho,, big up makamba10 hours ago
      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe mh.wa nzega kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago
      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe mh.wa nzega kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago
      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago · 1
      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago
      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago
      • Beatus Nchemwa Poleni sana wananchi wa Jimbo la NZEGA Kwa kuwa na mbunge Kijana ila mwenye mtazamo wa KIZEE!Ambao daima hauna tija kwa jamii yake inayomtegemea yeye kama mbunge na zaidi ya yote Akiwa KIJANA! POLENI SANA NDUGU ZANGU!10 hours ago
      • Athuman Malendemla Tunafahamu kuwa hata bungeni huwa kuna hoja zinapita kwa mtindo wa wengi wape inawezekana hata huko kwenye M-CC, MNEC pia mtindo huu unatumika hata akipinga hatafanikiwa. Dr kumbuka tunatetea wananchi na si chama hivi inaingia kweli akilini mbunge alipwe laki mbili kwa siku au mnataka kuweka historia ya kuwa bunge lilliloiingiza Tanzania kwenye machafuko? Wakati mafuta ya taa yanapanda bei kila kukicha, huduma mbovu za kijamii nyie mchukue hela zote hizo. Kama mkate ni mdogo basi tule wote sawa sio nyie mchukue robo tatu na sisi mtuachie robo. Manajenga chuki kwa wananchi mwishowe tutaingia vitani.9 hours ago
      • Nicolaus Lutare DOCTOR,kaa ukijua humu hautapata m2 wakumpinga January.ILA MJINGA AKIJANJALUKA MJANJA HUWA MATATANI.KUMBUKENI HILO JASHO LA MNYONGE MNALOLINYONYA LITAWAGHALIMU ".......nyie mnaona laki 2 nyng kudadadeki huyu mama ndio kanikera ameidharau laki 2 .KWELI WANAWEKWA WATU NGAZI ZA JUU ILI KU2NYONYA.ANGELIKUWA Babu SITA NAAMINI HAYA 2cngeyackia 8 hours ago
      • Nicolaus Lutare DOCTOR,kaa ukijua humu hautapata m2 wakumpinga January.ILA MJINGA AKIJANJALUKA MJANJA HUWA MATATANI.KUMBUKENI HILO JASHO LA MNYONGE MNALOLINYONYA LITAWAGHALIMU ".......nyie mnaona laki 2 nyng kudadadeki huyu mama ndio kanikera ameidharau laki 2 .KWELI WANAWEKWA WATU NGAZI ZA JUU ILI KU2NYONYA.ANGELIKUWA Babu SITA NAAMINI HAYA 2cngeyackia 7 hours ago
      • Mayenga Nzobe anayo haki maana hata angepinga peke yake bila kuungwa mkono na wengine ni kazi bure coz mwisho wa siku mnaulizwa wangapi wameafiki so he is very right as for me!Mbona hata ww ulipopigwa vibao na police huko nzega ulidai utajiuzulu na mpaka leo hii upo so usione kibanzi kwenye jicho la mwenzio wakati kwako kuna bolt kigwangala na lazima pia utazame mfumo wa maamuzi ya mwisho uko vp?5 hours ago
      • Saul Bichwa Mi nilithema, mkakataa!
        Ukiambiwa una akili kama Kigwangala utafanyaje?4 hours ago
      • George Ambrose Shayo Dr. January ana haki na legitimacy ya kuonelea hilo swala popote. The legitimacy is drawn from the Consitution. "FREEDOM OF EXPRESSION" Haki hiyo haata limit where, how, when and at what manner a person should enjoy the right isipokuwa imesema usivunje sheria. So January yupo right. Na ninaamini hata bungeni atayasema hayo Muungeni mkono. Swali langu kwako Dr, Hivi gharama za maisha kupanda ni Dodoma tu katika Nchi hii???????????3 hours ago
      • George Ambrose Shayo Ama kweli Dr. kwa kauli yako imenidhihirishia ni namna gani ninyi wabunge wengi wa ccm mlivyo walafi, waroho na wezi wa Keki ya Nchi msiyotaka kugawana na wananchi kwa usawa. Waacheni wa kinajanuary walio wachache waitetee nchi yao.3 hours ago
      • Eng Denis Hyera acha woga we dr wa nguruwe,huko unakotaka akaongelee ndo kulikotufikisha hapa tulipo kwenye maisha magumu,bora alivyoongelea huku kwa wananchi...mahaka ya wananchi...acha UNAFIKI we mbunge wa kuchakachua.2 hours ago
      • Said Uyaga Kaka cha msingi maisha hayajapanda kwa wabunge ni kwa wanainchi wote na siraha ya kujikwamua kwenye mfumuko na changamoto za mabadilko ya gharama za maisha si kuongeza fedha kaka. maoni yangu mimi ni serikali kuanzisha winda ndani ya nchi ili wanachi apate ajira. mpaka sasa kuna watu wameliza vyuo wanasubili ajira kwa mfano walimu na kada zingine lakini tungekua na viwanda walau kila mkoa hawa watu wangwpata mahala pakujishikiza2 hours ago
      • Eng Denis Hyera we huna habari kwamba wanaCCM wote ni wachawi mmerogwa,hayo mnayoyafanya ya kulihujumu taifa we unafikiri ni sawa kama sio kurogwa..2 hours ago
      • George Kidindima Dr. mbona unatoa kauli za ajabu ajabu wewe? amin usiamini huwezi kujilinganisha na January wewe. platform kitu gani? unaelewa fika kuwa hizo platform wala hazisikilizi mawazo ya wachache hata yawe ya maana kiasi gani. bora atoe mawazo yake hadharani ili kila mwananchi anayelaani kuongezeka kwa posho hiyo kwakufuru.about an hour ago
      • Ntukula Boaz Wewe kigwangala ni mwalimu wa somo la biology hapo badri sekondari nzega na siyo docta wala nini napata mstuko kuona unaandika status ya kishamba kama hii na wewe ni muheshimiwa kijana kweli unawaongoza wqjinga hao wanyamwezi wa nzega ndio maana ulibebwa hukushinda hata kura za maoni.shame on you.unatetea posho sisi wananchi maisha magumu huridi tena bungeni wewe 2015 nakuja.kuchuana na wewe najua hutaniwezaabout an hour ago · 1
      • Bruno Minja m sad u r repeating the same mistake he dd,not takin ths to the internal vikao vya chama!about an hour ago
      • Mycle Samson Mwambyasyo NAKUONEA HURUMA SANA. HIV MBONA DOCT, MAMBO YAKO HAYAFANAN NA UDOCT WAKO, KWA TAARIEA YAKO HATA HAO WALIO KUBEBA KWENYE UBUNGE WANAJILAUMU KUKUPA UBUNGE. SAFAR HII IMEKURA KWAKO. YAMAKAMBA WE YANAKUHUSU NN? UMBEA, UMBEA TU UNAKUSUMBUA. HUJATUFANYIA LOLOTE WANANZEGA. HAPO TU UCHAMA UNAPOISHI UMEWAFANYIA NIN JIRAN ZAKO. HOVYO TU.about an hour ago
      • Deo Mtui Hamis na wewe sasa tuanaanza kukushangaa kama unaweza kuwa wa kawaida.............Amekuwa akilieleza hili bungeni na naamini kwenye maeneo husika uliyoyataja na zaidi ameonyesha njia kwa kuzikataa lakini kwa kuwa hasikilizwi na ana uhuru wa kifikra wa kusema na uhuru wa kujieleza bado ana-uhuru wa kusema kwa kuwa ndicho watanzania walio wengi waliokata tamaa wanataka kusikia......kwa wewe kugeuka ghafla unatutia hofu kwa udhaifu unaouonyesha katika kutetea maslahi ya wengi............Wabunge si watumishi wanaoishi hewani.....ni watumishi kama ilivyo waalimu na wengineo ila ninyi kwa uchache wenu tayari mmependelewa sana,sasa kama inatokea mnataka kujipendelea zaidi na kutengeneza gap kati yenu na mnaopaswa kuwaongoza hilo halikubaliki na kwa taarifa tu kwa nyie mnaozitetea mbele ya Umma ANGUKO LENU HALIPO MBALI SANA!!!!!!!!25 minutes ago · 1
      • Prosper Betram Bro mimi sio mwana CCM,kwa maoni yangu amejidhihirisha kuwa yeye ni mtetezi halisi wa wanyonge na hayupo pale kujinufaisha.Na kwa hili watanzania wote wanyonge watamuheshimu na ataweka historia.11 minutes ago
      • Prosper Betram Kwa kweli brother nyinyi mnaona sawa lakini impact yake ni kubwa sana na very soon mawaziri na viomgozi wataanza kupigwa mawe na wananchi walalhoi waliokata tamaa.7 minutes ago





[JFMP3][/JFMP3]
Afadhali amepata watu wa kumpa ukweli low minded huyu.
 
  • Hamisi Kigwangalla


    Mhe. January Yusuph Makamba (MP, M-CC, MNEC) has the following platform ya kuongelea: Bunge, Kamati Kuu ya CCM, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Sekretariet ya CCM, Kamati ya Uongozi ya Bunge...hivi ni haki na halali kwa yeye na nafasi yake kutoa kauli ya kupinga posho hadharani ilhali ana fursa zote hizi za kuzuia ama kurekebisha? Kama hazitaki hizo posho si angeweza tu kuacha kuzichukua, ama angeweza kushawishi chama na serikali kwamba hazifai na zitolewe ama zisiongezwe! Wenzangu mnaonaje hili! Hivi wana-CCM wenzangu tumerogwa ama?

    Share · 20 hours ago ·
    • 22 people like this.
    • 50 of 240
      • Bernard Kindoli Mmerogwa indeed! If you’re conscious is clear sema usiogope. Mbunge posho au Mbunge Mzalendo? You don’t need to consult your party on this issue cos haiko kwenye manifesto wala fundamental beliefs za chama chetu. Big Up Makamba15 hours ago
      • Mohamed Ifanda ‎@all i knw januar jaman ni mtu makini na anaestahil kusimamia maamuz sahihi kama haya namkubali sana lakin asijekumwga baba yake aliyechangia kuiua ccm14 hours ago
      • Khalid Issah Lakini Muhamed ujawai kumuona mtoto wa Jambazi anakua askofu/sheikh na yote mabaya kwao yanasahaulika@Ifanda14 hours ago
      • Dixon Mpemba hamuambiliki!!!14 hours ago
      • Ronalld Ngalai Makamba yupo sahihi, kwa kuwa yale ni maoni yake binafsi. Tutawang'oa wote, Nchi hii iongozwe na vijana shupavu.14 hours ago · 1
      • Andrea Ngobole Kaka hili ni jambo la mcng sana ila kumbuka January Makamba anajivavadua kisiasa so ucmshangae saaaaaana its just a tactic za kutoka 14 hours ago
      • Babu Maziku mheshimiwa hayo ni machache juu ya mengi ya wanasiasa. ambao wanang'ata na kupuliza, ndo hao hao wanaowatetea ht wawekezaj wanaokandamiza wananchi.14 hours ago
      • Ronalld Ngalai Is it Ngobole? Hata kama mtu anataka sifa, na sifa hizo zikalisaidia Taifa basi bora iwe hivyo jamani.14 hours ago · 1
      • Ronalld Ngalai Maziku nalifanyia kazi. Wawekezaji wanatukera mpaka14 hours ago
      • Khalid Issah ‎@ALL, MIAKA HAMSINI TUNAIMALI KWA MABADILIKO MAKUBWA,ISSUE KA HII ZAMANI TUNGEMLAUMU MAKAMBA AESHIMU CHAMA ILA JAMAA ALIYETOA MADA ATAWAAMBIA NA WENZAKE KUA TUMEBADILI14 hours ago
      • Joseph Kundy hamisi acha unafiki....mwaka 2005 madaktari tuligoma kwa ajili ya kupigania haki za kupata maslahi bora....nikimanisha kuwa hata leo bado maslahi kwa watumishi wa umma ni madogo mno.......hivyo kimsingi kuongeza posho za wabunge ni kukera wananchi hasa watumishi wa umma . Umesahau kuwa tulipinga kutokuwa na usawa kwenye kugawana rasimali za nchi kwa wachache mwaka 2005 ? iweje leo wabunge posho ipande kwa asilimia kubwa ilihali mbongo analia njaa ? jamani tuache usanii ,maisha magumu na kupanda kwa gharama za maisha ni kwa kila mtu.14 hours ago · 2
      • Eng Baraka Manyama unakosea sana Dr, yaaaani nimesikitika sana kuona hii kauli yako13 hours ago
      • Joseph Kundy why13 hours ago
      • Andrea Ngobole Yap Ronald! 13 hours ago
      • Matokeo Simba Ni dalili ya wana ccm wengi kufilisika mission na vision,natabili anguko la chama13 hours ago · 3
      • Sadock Sabas Kihonyi ‎..KWANI HUJUI??? Hamisi Kigwangalla13 hours ago
      • Daud Yunus Inashangaza kuona mbunge kijana tena msomi ana mind set finyu na iliyopitwa na wakati kiasi hicho! Binafsi sioni kosa la mh. January Makamba. Tatizo kubwa katika nchi nyingi za kiafrika ikiwemo Tanzania ni lack of transparency na ndio maana tuna tatizo kubwa la rushwa na upuuzi huu wote wa kujiamulia mambo kinyume cha taratibu. Linapokuja suala la kutetea haki ya wanyonge it does n't matter mtu anaongelea kwenye platform gani. Well, i can see the point Dr. Kigwangalla is tryin' to make, pengine anadhani mh. January Makamba anatafuta publicity kwa kufanya hivyo lakini mimi naona ni bora huyo anayetafuta publicity kwa kutetea haki za wanyonge! Tanzania is full of greedy and self-serving leaders who are using their proxy in power to accumulate wealth at the expense of the majority. For this reason, wengi hawawezi kuunga mkono juhudi za Mh. Makamba kupinga ongezeko la posho. Time has come to redress this practice! Thumb up for comrade January Makamba, saa ya ukombozi ni sasa, well done bro!!!!!13 hours ago · 4
      • Mackline Petrova Pierce Dr Ushafilisika mawazo nawe, we mbona unasehemu nyingi tu ya kutoa haya malalamiko yako lakin umekuja kuyatolea hapa facebuk? N watanzania wangap wanauezo wa kuingia facebuk? Kama ndivo na Hon January mwache awe hajaona izo platfom zote! Niambie ungekua wewe Hon January ungetumia platfom ipi kati ya hizo????????12 hours ago
      • Andrew Chatwanga huo ndio ugonjwa wa sisi wanaCCM nadhani kuna umuhimu sasa kuhakikisha tunaanzisha Chuo cha mafunzo kwa wale wote wanaopata uongozi wa Chama najua tunacho Chuo Cha Mahiwa Iringa Ambacho ni Cha umoja wa Vijana ambao pia hawakitumii tuwapeleke akina January Makamba na wenzake wengine ambao kimsingi hawajui maadili ya uongozi na pia Spika Makinda amewahi mno kupambana na katibu wake wa bunge Dkt kashirila kuhusu posho hizo mnatuchanganya wanaCCM wenzenu12 hours ago
      • Emmanuel Joseph Ntoga Hamjarogwa mheshimiwa ila MAGAMBA ndo yanawasumbua, jitahidini muyavue kisha tuonane 201511 hours ago
      • Dickson Elia Malila ccm umekufaaaaaaaaaaaaa on huyo mmbunge anaongea hyo kwelim uwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii11 hours ago
      • Deusdedit Maganga Kwa hongo hiyo ya posho NI KUUNGA MKONO HOJA KWA 100 hours ago
      • Yohana Igenge Yohana ‎@Kigwangala makamba yuko sahihi hajatumwa na chama wala sekeretariati ya ccm amechaguliwa na wananchi kama wewe unaona hili la posho linakukwaza subili adhabu yako na yenu ipo kalibu, tumechoka hamubembelezeki kila siku ni watu wa scandles hv ninyi wabunge wa ccm mnatumia akiri au mnafikiri sisi tuliowachagua ni wajinga eti sasa tunatangaza vita na wabunge wote wajinga tukianza na sipika wenu.11 hours ago
      • Harrison Joseph Kassimba heri kujitenga na maamuz mabovu kuliko kukumbatia kwa kivuli cha nafas yako, watu makin wakati wote ufanyanya maamuz sahihi. 11 hours ago · 1
      • Yustina Adam tetea maslai ya coleege achana na siasa ya majungu10 hours ago
      • Beatus Nchemwa heri yake Makamba ambaye hawezi kuvumilia upumbubavu wa kuongeza posho ilhali hali ya uchumi wa taifa letu ukiwa hoi! ILA wachache na wanafiki wanaoweza kuvuta subira kwa mlolongo mrefu wa Platform ambazo wakati wananchi wakiumia kwa umaskini!10 hours ago
      • Ezekiel Lameck ccm kungekuwa na wabunge 20 kama january makamba,hakika ccm isinge ishiwa mvuto kwa wananchi,, hawa wabunge wengine mko kwa masilahi yenu 2... inasikitisha sn kuona mbunge anatetea posho,, big up makamba10 hours ago
      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe mh.wa nzega kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago
      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe mh.wa nzega kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago
      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago · 1
      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago
      • Benedicto Makoye Machibya hivi wewe kigwangala,hivi kweli wewe ni dokta?i doubt on ur level of thinking,aise aibu sana na nawahurumia unaowaongoza, huna hoja!hukubaliki!hujui kufikiri!unaendekeza makundi ndani ya chama, unaiua CCM, unatakiwa utolewe!gosh10 hours ago
      • Beatus Nchemwa Poleni sana wananchi wa Jimbo la NZEGA Kwa kuwa na mbunge Kijana ila mwenye mtazamo wa KIZEE!Ambao daima hauna tija kwa jamii yake inayomtegemea yeye kama mbunge na zaidi ya yote Akiwa KIJANA! POLENI SANA NDUGU ZANGU!10 hours ago
      • Athuman Malendemla Tunafahamu kuwa hata bungeni huwa kuna hoja zinapita kwa mtindo wa wengi wape inawezekana hata huko kwenye M-CC, MNEC pia mtindo huu unatumika hata akipinga hatafanikiwa. Dr kumbuka tunatetea wananchi na si chama hivi inaingia kweli akilini mbunge alipwe laki mbili kwa siku au mnataka kuweka historia ya kuwa bunge lilliloiingiza Tanzania kwenye machafuko? Wakati mafuta ya taa yanapanda bei kila kukicha, huduma mbovu za kijamii nyie mchukue hela zote hizo. Kama mkate ni mdogo basi tule wote sawa sio nyie mchukue robo tatu na sisi mtuachie robo. Manajenga chuki kwa wananchi mwishowe tutaingia vitani.9 hours ago
      • Nicolaus Lutare DOCTOR,kaa ukijua humu hautapata m2 wakumpinga January.ILA MJINGA AKIJANJALUKA MJANJA HUWA MATATANI.KUMBUKENI HILO JASHO LA MNYONGE MNALOLINYONYA LITAWAGHALIMU ".......nyie mnaona laki 2 nyng kudadadeki huyu mama ndio kanikera ameidharau laki 2 .KWELI WANAWEKWA WATU NGAZI ZA JUU ILI KU2NYONYA.ANGELIKUWA Babu SITA NAAMINI HAYA 2cngeyackia 8 hours ago
      • Nicolaus Lutare DOCTOR,kaa ukijua humu hautapata m2 wakumpinga January.ILA MJINGA AKIJANJALUKA MJANJA HUWA MATATANI.KUMBUKENI HILO JASHO LA MNYONGE MNALOLINYONYA LITAWAGHALIMU ".......nyie mnaona laki 2 nyng kudadadeki huyu mama ndio kanikera ameidharau laki 2 .KWELI WANAWEKWA WATU NGAZI ZA JUU ILI KU2NYONYA.ANGELIKUWA Babu SITA NAAMINI HAYA 2cngeyackia 7 hours ago
      • Mayenga Nzobe anayo haki maana hata angepinga peke yake bila kuungwa mkono na wengine ni kazi bure coz mwisho wa siku mnaulizwa wangapi wameafiki so he is very right as for me!Mbona hata ww ulipopigwa vibao na police huko nzega ulidai utajiuzulu na mpaka leo hii upo so usione kibanzi kwenye jicho la mwenzio wakati kwako kuna bolt kigwangala na lazima pia utazame mfumo wa maamuzi ya mwisho uko vp?5 hours ago
      • Saul Bichwa Mi nilithema, mkakataa!
        Ukiambiwa una akili kama Kigwangala utafanyaje?4 hours ago
      • George Ambrose Shayo Dr. January ana haki na legitimacy ya kuonelea hilo swala popote. The legitimacy is drawn from the Consitution. "FREEDOM OF EXPRESSION" Haki hiyo haata limit where, how, when and at what manner a person should enjoy the right isipokuwa imesema usivunje sheria. So January yupo right. Na ninaamini hata bungeni atayasema hayo Muungeni mkono. Swali langu kwako Dr, Hivi gharama za maisha kupanda ni Dodoma tu katika Nchi hii???????????3 hours ago
      • George Ambrose Shayo Ama kweli Dr. kwa kauli yako imenidhihirishia ni namna gani ninyi wabunge wengi wa ccm mlivyo walafi, waroho na wezi wa Keki ya Nchi msiyotaka kugawana na wananchi kwa usawa. Waacheni wa kinajanuary walio wachache waitetee nchi yao.3 hours ago
      • Eng Denis Hyera acha woga we dr wa nguruwe,huko unakotaka akaongelee ndo kulikotufikisha hapa tulipo kwenye maisha magumu,bora alivyoongelea huku kwa wananchi...mahaka ya wananchi...acha UNAFIKI we mbunge wa kuchakachua.2 hours ago
      • Said Uyaga Kaka cha msingi maisha hayajapanda kwa wabunge ni kwa wanainchi wote na siraha ya kujikwamua kwenye mfumuko na changamoto za mabadilko ya gharama za maisha si kuongeza fedha kaka. maoni yangu mimi ni serikali kuanzisha winda ndani ya nchi ili wanachi apate ajira. mpaka sasa kuna watu wameliza vyuo wanasubili ajira kwa mfano walimu na kada zingine lakini tungekua na viwanda walau kila mkoa hawa watu wangwpata mahala pakujishikiza2 hours ago
      • Eng Denis Hyera we huna habari kwamba wanaCCM wote ni wachawi mmerogwa,hayo mnayoyafanya ya kulihujumu taifa we unafikiri ni sawa kama sio kurogwa..2 hours ago
      • George Kidindima Dr. mbona unatoa kauli za ajabu ajabu wewe? amin usiamini huwezi kujilinganisha na January wewe. platform kitu gani? unaelewa fika kuwa hizo platform wala hazisikilizi mawazo ya wachache hata yawe ya maana kiasi gani. bora atoe mawazo yake hadharani ili kila mwananchi anayelaani kuongezeka kwa posho hiyo kwakufuru.about an hour ago
      • Ntukula Boaz Wewe kigwangala ni mwalimu wa somo la biology hapo badri sekondari nzega na siyo docta wala nini napata mstuko kuona unaandika status ya kishamba kama hii na wewe ni muheshimiwa kijana kweli unawaongoza wqjinga hao wanyamwezi wa nzega ndio maana ulibebwa hukushinda hata kura za maoni.shame on you.unatetea posho sisi wananchi maisha magumu huridi tena bungeni wewe 2015 nakuja.kuchuana na wewe najua hutaniwezaabout an hour ago · 1
      • Bruno Minja m sad u r repeating the same mistake he dd,not takin ths to the internal vikao vya chama!about an hour ago
      • Mycle Samson Mwambyasyo NAKUONEA HURUMA SANA. HIV MBONA DOCT, MAMBO YAKO HAYAFANAN NA UDOCT WAKO, KWA TAARIEA YAKO HATA HAO WALIO KUBEBA KWENYE UBUNGE WANAJILAUMU KUKUPA UBUNGE. SAFAR HII IMEKURA KWAKO. YAMAKAMBA WE YANAKUHUSU NN? UMBEA, UMBEA TU UNAKUSUMBUA. HUJATUFANYIA LOLOTE WANANZEGA. HAPO TU UCHAMA UNAPOISHI UMEWAFANYIA NIN JIRAN ZAKO. HOVYO TU.about an hour ago
      • Deo Mtui Hamis na wewe sasa tuanaanza kukushangaa kama unaweza kuwa wa kawaida.............Amekuwa akilieleza hili bungeni na naamini kwenye maeneo husika uliyoyataja na zaidi ameonyesha njia kwa kuzikataa lakini kwa kuwa hasikilizwi na ana uhuru wa kifikra wa kusema na uhuru wa kujieleza bado ana-uhuru wa kusema kwa kuwa ndicho watanzania walio wengi waliokata tamaa wanataka kusikia......kwa wewe kugeuka ghafla unatutia hofu kwa udhaifu unaouonyesha katika kutetea maslahi ya wengi............Wabunge si watumishi wanaoishi hewani.....ni watumishi kama ilivyo waalimu na wengineo ila ninyi kwa uchache wenu tayari mmependelewa sana,sasa kama inatokea mnataka kujipendelea zaidi na kutengeneza gap kati yenu na mnaopaswa kuwaongoza hilo halikubaliki na kwa taarifa tu kwa nyie mnaozitetea mbele ya Umma ANGUKO LENU HALIPO MBALI SANA!!!!!!!!25 minutes ago · 1
      • Prosper Betram Bro mimi sio mwana CCM,kwa maoni yangu amejidhihirisha kuwa yeye ni mtetezi halisi wa wanyonge na hayupo pale kujinufaisha.Na kwa hili watanzania wote wanyonge watamuheshimu na ataweka historia.11 minutes ago
      • Prosper Betram Kwa kweli brother nyinyi mnaona sawa lakini impact yake ni kubwa sana na very soon mawaziri na viomgozi wataanza kupigwa mawe na wananchi walalhoi waliokata tamaa.7 minutes ago





[JFMP3][/JFMP3]
Afadhali amepata watu wa kumpa ukweli low minded huyu.
 
jamani mwacheni january. mnaendeleza majungu nyie, mmetumwa na waziri wa umeme. january kafika hapo alipo kwa juhudi zake mwenyewe na utendaji wake wa kazi. chama kimemuamini kuwa kijana safi ndo maana ana vyeo vyote hivyo. kwa hiyo kundi la ngeleja na riz1 wanaotaka kummaliza inabidi wapoze hasira zao.
hapo kwenye red sio kweli, kafika hapo alipo kwa juhudi za baba yake Mzee Makamba. ACHA KUPOTOSHA UMMA. Ila kijana anahoja ya msingi ktk suala la posho
 
Mh mi nahisi Dr. Kig...... SIO RAIA, Maana hata waliyemuengua kwenye maoni ya ubunge walisema sio raia jpo kwenye vikao vya NEC na UVCCM anashiriki. CCM sio mchezo
 
Nahisi huyo Dr. Kig........ SIO RAIA. Maana hata waliyemuengua kule Nzega walisema sio raia japo wakampa cheo UVCCM na vikao vikuu vya CCM anashiriki. CCM sio mchezo
 
Huyu Kigwangala si mtu mwenye msimamo. Alikuwa mmoja wa waanzilishi wa Mgomo wa Madaktari pale Muhimbili. Wakati wenzake bado mametunisha msuli na Serikali ikionyesha dalili za kukubali matakwa ya madaktari yeye akaenda kumuangukia Sumaye na kuomba msamaha kwamba tuko chini ya miguu yake amefanya kosa kugoma.
Kwa hiyo sioni ajabu kwa maoni ya huyo Kigwangala
 
Big up january makamba,ktk masuala ya msingi ya kitaifa hakuna kumwogopa mtu au chama,lazima tuseme ukweli.wabunge na viongozi wanaokubali kuongezewa wabunge posho toka elfu 70-laki 2 si wazalendo,ni wasaliti wa wapiga kura wao.Hivi maisha yamepanda dodma na kwa wabunge tu?mbona walimu,manesi,makalani,walinzi,wahadhili,wakulima,madereva,madokta,nk hamwakumbuki?kwa nini wananchi wanahasira na serikali?wabunge na viongozi wa serikali wamesahau raia wao,wanajinufaisha na rasimali na keki ya TZ peke yao,siku si nyingi zitawatokea puani.mbona walimu wakitaka kugoma ili kupandishiwa posho na mishahara mnawatishia rungu za dola,polis,jeshi na magereza?ACHENI WIZI KWA RAIA WENU,KABLA MACHOZI YAO HAYAJAKAUKA MTAPATA JIBU,WATZ JAAMANI TUSIKUBALI KUNYANYASWA KTK NCHI YETU,TUKATAE BILA WOGA.
 
hivi huyo kigwangallah ana wazazi kwani? huwa naona kama ni mtu wa mtaani tu aliyeingia kwa siasa kwa bahati mbaya
 
nae kingwangala angeweza kumpinda Jan kwa kupitia hizo platfom alizoona zinafa.... magamba bana
 
Back
Top Bottom