mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 919
- 2,270
Habari wana jamvi!
Kuna hii gari pendwa katika jiji la dar es salaam, inayoshika kask sana kwa kununuliwa kama njugu.. wao wanaiita “dar sweetheart”.. si nyingine bi ni “Nissan Dualis”.
Nakumbuka kipindi zinaanza kuingia hapa bongo zilikua bei moto sana around milion 25. Lakini kwa sasa nimeshangaa kuona bei zake zimeshuka sana mpaka kuna baadhi ya agents wanakuagizia kutoka japan kwa 14.5m. Binafsi nimevutiwa na gari hii hasa kwa muonekano wake, Mungu akijaalia basi hili gari litakua kipaumbele kwangu.
Naomba wajuvi wa mambo watusaidie nini kimechangia poromoko la bei kwa kiasi hiki? je lina matatizo fulani ya kiufundi au sababu ni ipi haswa?
Kuna hii gari pendwa katika jiji la dar es salaam, inayoshika kask sana kwa kununuliwa kama njugu.. wao wanaiita “dar sweetheart”.. si nyingine bi ni “Nissan Dualis”.
Nakumbuka kipindi zinaanza kuingia hapa bongo zilikua bei moto sana around milion 25. Lakini kwa sasa nimeshangaa kuona bei zake zimeshuka sana mpaka kuna baadhi ya agents wanakuagizia kutoka japan kwa 14.5m. Binafsi nimevutiwa na gari hii hasa kwa muonekano wake, Mungu akijaalia basi hili gari litakua kipaumbele kwangu.
Naomba wajuvi wa mambo watusaidie nini kimechangia poromoko la bei kwa kiasi hiki? je lina matatizo fulani ya kiufundi au sababu ni ipi haswa?