<br />Akaa! kumbe huyo Popobawa ndio anasura hiyo ndio kwanza leo nimuone,anajicho moja tuu? loh anatishaaa bora akufate ukiwa usingizini ukiwa macho unaweza kufa au kuzimia na wanakuwepo mji gani hasa hao popobawa na msimugani au alowahi kuwaona akajua ndio hao ni nani?
<br />
niaje, mbona unaogopa hivyo? Au ndugu yetu unaishi zenji?