Why men population will remain low forever......
This guy is taking soda while buying gal friend chapati 3, sandwich ya nyama na samaki wa kipande
View attachment 66023
Wanataka wenyewe hao...
hapo mkuu si ana bembeleza?hajala vitu,akila vitu hakuna tena outing za namna hiyo
kama huyo sio wewe.....umejuaje hivyo vitu ndio vipo kwenye sahani......? Mbona mimi sioni.....
kuna mshkaji wkt tunasoma azania alitumia pocket money ya wiki kumnunulia ngamia (gals wa jangwani sec) zawadi na mazaga zaga. amerudi hosteli pale hana hela ya kula akawa anakula mihogo na kugongea misosi kwa washkaji wiki nzima maana hawezi enda hm kuomba tena hela
Halafu jamaa akitoka hapo akatumike. Bao moja=kutembea 50km. Source ni mimi mwenyewe.