Poor Dar..

Mkeshahoi

JF-Expert Member
Jan 4, 2009
2,469
281
Baada ya kuishi kwa miaka ya kutosha Dar es salaam... baada ya kuchakachua na kuchakachuliwa na maisha(katika anga zote unazojua)...nadiriki kusema..DSM HAIFAI...HASA KWA MAISHA YA KULEA FAMILIA/NDOA..

Uongo?:thinking:
 
kweli aisee tuna wakati mgumu sana wa kukuza watoto wetu kwenye maadili yanayofaa kila siku nikiamka namwambia MUNGU awatunze maana kwa nguvu zetu hatuwezi
Baada ya kuishi kwa miaka ya kutosha Dar es salaam... baada ya kuchakachua na kuchakachuliwa na maisha(katika anga zote unazojua)...nadiriki kusema..DSM HAIFAI...HASA KWA MAISHA YA KULEA FAMILIA/NDOA..

Uongo?:thinking:
 
Tena maeneo ya Kinondoni na baadhi ya maeneo ya Mwananyamala. Machangudoa, mateja, vibaka, makuwadi na kila aina ya uchafu.
Kwa hakika Dar hapafai kabisa kuishi na familia hasa watoto wanaokua.
 
mlee mtoto katika njia kitika misingi ya dini (neno la Mungu) ndio itakayomsaidia kuhama haitasaidia kila mahali pameharibika sikuhizi.
 
mlee mtoto katika njia kitika misingi ya dini (neno la Mungu) ndio itakayomsaidia kuhama haitasaidia kila mahali pameharibika sikuhizi.

Nenda mbele rudi nyuma...Dar is worse!!na na ukichukulia zaidi ya 70% ni makazi holela... basi ni tabu tupu!!
 
Kwa nini ?
mwenyewe nikiangalia hapa nilipo hapafai sasa wapi patakuwa salama kukimbilia?vijijino or:A S angry:
 
Tena maeneo ya Kinondoni na baadhi ya maeneo ya Mwananyamala. Machangudoa, mateja, vibaka, makuwadi na kila aina ya uchafu.
Kwa hakika Dar hapafai kabisa kuishi na familia hasa watoto wanaokua.
umenikumbusha kabla sijaondoka nilikuwa naishi kinondoni iatokea watoto wadogo wa kiume mmoja miaka4 mwingine 3,huyu wa 4 akamlalia mwenzie juu kama anam..... na wote wa kiume,mzazi wa aliyelaliwa akaenda shtaki iustaarabu wazazi wa waliolalia wakacheka sana wakiona sifa kumbe huyu anayelalia wenzie anaharibiwa na kakake mkubwa wa miaka 13 na kaka mtu anaharibiwa na wenzie wakubwa zaidi nilipohama nikasema ahaste Mungu.
 
Baada ya kuishi kwa miaka ya kutosha Dar es salaam... baada ya kuchakachua na kuchakachuliwa na maisha(katika anga zote unazojua)...nadiriki kusema..DSM HAIFAI...HASA KWA MAISHA YA KULEA FAMILIA/NDOA..

Uongo?:thinking:
Mkuu naunga mkono kwa asilimia zote... maisha ya Dar na hasa maofisini ni ya kufeki na hayana maadili kabisa, heshima ni ndogo na uongo umezidi, wengi tunaishi maisha yasiyo yetu na tunadanganyana sana

Upigaji ndio usiseme, uzungu koko ni balaa

Lakini je, tukaishi wapi?
 
Mkuu naunga mkono kwa asilimia zote... maisha ya Dar na hasa maofisini ni ya kufeki na hayana maadili kabisa, heshima ni ndogo na uongo umezidi, wengi tunaishi maisha yasiyo yetu na tunadanganyana sana

Upigaji ndio usiseme, uzungu koko ni balaa

Lakini je, tukaishi wapi?

that is very true
 
Baada ya kuishi kwa miaka ya kutosha Dar es salaam... baada ya kuchakachua na kuchakachuliwa na maisha(katika anga zote unazojua)...nadiriki kusema..DSM HAIFAI...HASA KWA MAISHA YA KULEA FAMILIA/NDOA..

Uongo?:thinking:

Kaka wamekutafunia nini?
 
Tena maeneo ya Kinondoni na baadhi ya maeneo ya Mwananyamala. Machangudoa, mateja, vibaka, makuwadi na kila aina ya uchafu.
Kwa hakika Dar hapafai kabisa kuishi na familia hasa watoto wanaokua.
Hivi unadhani Machangudoa, mateja, vibaka, makuwadi ........n.k wote wamelelewa na kukulia Dar...?? Kwa taarifa yako wapo waliolelewa na kukulia KIbosho, Rulindi,.........Chiungutwa........... Orkasmet........... Kishumundu........... Kaisho........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom