Hivi ni mkamalia au mkamariaMkamalia
Kwamba ndio huyo kumbe😅
Kama ndiye basi hasara
Nyie wa vijijini tumewawekea muone huyo ponjoro hahahaha, ila alijidharirisha sana kama alikuwa anatetea kazi zake haramu ili aonekane yupo na rais hakika alikoseaKwamba ndio huyo kumbe😅
Kwa hiyo wamjini mnajiona wajanja sana ,kumjua tu ponjoro🚮Nyie wa vijijini tumewawekea muone huyo ponjoro hahahaha, ila alijidharirisha sana kama alikuwa anatetea kazi zake haramu ili aonekane yupo na rais hakika alikosea
Hahaha sana, ponjoro ni muuza dona maarufu kaharibu sana vijana ila hakamatwi na ndiyo maana ni mwema kweli wa CCM ili awe kwenye mfumo na ndiyo maana kanyanyua domo kuonekana yupo na rais ili alinde biashara zake haramuKwa hiyo wamjini mnajiona wajanja sana ,kumjua tu ponjoro🚮
Kumbe wa dar nanyi mna kula dona , mbona warembo sana?Hahaha sana, ponjoro ni muuza dona maarufu kaharibu sana vijana ila hakamatwi na ndiyo maana ni mwema kweli wa CCM ili awe kwenye mfumo na ndiyo maana kanyanyua domo kuonekana yupo na rais ili alinde biashara zake haramu