Baba yake charlison
Member
- Jul 9, 2020
- 31
- 24
Hodi hodi wakurugenz ndyg zangu nawakubali san humu ndan amjawai yumba mna akil san yan nyie mpak mke nilie mweka ndan nimempatia humu ndani wew ana akil nying sana
fb.Hodi hodi wakurugenz ndyg zangu nawakubali san humu ndan amjawai yumba mna akil san yan nyie mpak mke nilie mweka ndan nimempatia humu ndani wew ana akil nying sanaView attachment 1504430
Sante babuKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidipo.
Sasa nitaharibu nin mkuuUsije ukaharibu hapa Jf,,ukiharibu utawaona watu wasiojulikana,,jinga sana wewe,,eti linajipost hadi picha,unadhani ukigeuka hivyo hawatapajua hapo ulipo??..Ila karibu..
Nawe pia mjukuu.Sante babu