Lego
Senior Member
- Aug 31, 2016
- 114
- 115
Nawapongeza sana mawaziri hawa Hon Prof Ndalichako, Hon Nchemba na Hon Simbachawene kila mmoja kwa nafasi yake ameplay part yake on right time we are proud of you, maana kuna viongozi wengine anashudia kabisa mambo ya ajabu yanatokea harafu anasema bado sjapata taarifa rasmi yamaandishi kwa hiyo siwezi kutoa maamuzi.