Pongezi mabondia kwa kuzuia maandamano

Pongezi mabondia kwa kuzuia maandamano

Yukwapi

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
480
Reaction score
605
Habari za muda huu watanzania wa mama Samia.

Kwanza Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru mungu kwa Hali ya Leo kua ya utulivu na amani.

Pili napenda kuwapa pongezi mabondia kwa kuzuia maandamano DSM na kuhakikisha hakuna anae leta uvunjifu wa amani.

Tatu vijana tuwe wazalendo tuepuke kufwata mkumbo na kujiingiza kwenye makundi ya uchochezi yanayoweza sababisha uvunjifu wa amani kwenye Taifa letu

Mwisho Watanzania tunajivunia kua na mabondia wazalendo naninawaomba wasichoke kulipambania Taifa nakumuunga mkono Rais wa JMT🙏🙏

Nawasilisha
 
Habari za muda huu watanzania wa mama Samia.

Kwanza Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru mungu kwa Hali ya Leo kua ya utulivu na amani.

Pili napenda kuwapa pongezi mabondia kwa kuzuia maandamano DSM na kuhakikisha hakuna anae leta uvunjifu wa amani.

Tatu vijana tuwe wazalendo tuepuke kufwata mkumbo na kujiingiza kwenye makundi ya uchochezi yanayoweza sababisha uvunjifu wa amani kwenye Taifa letu

Mwisho Watanzania tunajivunia kua na mabondia wazalendo naninawaomba wasichoke kulipambania Taifa nakumuunga mkono Rais wa JMT🙏🙏

Nawasilisha

View: https://x.com/Eric__Bernard/status/1998379498207936831?s=20
 
Back
Top Bottom