Pongezi kwa Zakazakazi kuufafanua mgogoro wa Israel na Palestina kwa facts na kuweka udini pembeni

Hii nondo haina pdf yake?
 

Palestine​

Also known as: Eretz Yisraʾel, Philistia, Syria Palaestina
 
Porojo nyingi kuliko uhalisia.

Unakubaliana vipi na historia ya wakristo waliyiwauwa wayahudi kwa imani yao na kuikataa historia ya waliowapokea walipokuwa wakimbizi na kuwahifadhi?


Mfano Tanzania imepokea wakimbizi wa Burundi na Rwanda ikawapa eneo, baada ya miaka kadhaa wanadai hapo ni kwao kwa kuwa wamezaliwa hapo.

Inakuja hiyo?

Iwe miaka 3000 au 1000 nyuma hakujawahi kuwa na nchI ya wayahudi wala inayoitwa Usrael.

Vipi imani ya kiroho iwe na nchi?
 
Umeandika kwa hasira sana.
Kumbuka, hata taifa la wapalestina halikuwahi kuwepo. Pia Wayahudi hawakuwa wakimbizi pale. Hawakupelekwa na mtu, ni kwao, wapalestina pia ni kwao.
 
Hivi wakatoliki wa peramiho leo hii wakisema wanaanzisha nchi yao hapo peramiho kwa kuwa wapo 100% wakatoliki na eneo hilo walipewa na Wajerumani walipokuwa wanatawala kimabavu basi ndiyo imeshakuwa sawa hivyo?
 
Hivi wakatoliki wa peramiho leo hii wakisema wanaanzisha nchi yao hapo peramiho kwa kuwa wapo 100% wakatoliki na eneo hilo walipewa na Wajerumani walipokuwa wanatawala kimabavu basi ndiyo imeshakuwa sawa hivyo?
Mfano wako ni irrelevant, nakupa nafasi ujaribu mfano mwingine.
Labda jaribisha mfano wa Wamasai na waarabu kule Ngorongoro.
Au jaribu mfano wa Watusi na Wahutu.
 
Hiyo nchi walikaa wacaanani wewe na wanefili na agizo la Mungu waangamizwe wote Na ndicho kilichotokea chief. Caanani alikuwa na laana ya baba yake Nuhu kwa kumchungulia akiwa amelewa. Na wanefili walikuwa na mijitu makubwa sana breed ya Malaika na binadamu. Kuna malaika waliwaingilia binadamu ikatokea breed moja hatari sana. Na hao malaika wapo vifungoni wakisubir hukumu. Haya Mambo yapo kiroho sana kuyaelewa.
 
Ninaweza kukupa maandiko yote.
Kanaani walikaa mataifa/makabila zaidi ya 5.
Kukawako ugomvi kati ya wachunga wanyama wa Abramu, na wachunga wanyama wa Lutu; na siku zile Wakanaani na Waperizi walikuwa wakikaa katika nchi.

Mwanzo 13:7
Yakobo akawaambia Simeoni na Lawi, Mmenitaabisha, kunifanya ninuke vibaya kati ya watu wa nchi hii, Wakanaani na Waperizi; na mimi, kwa kuwa watu wangu ni haba, watanikusanyikia, na kunipiga, nami nitaangamizwa, mimi na nyumba yangu.

Mwanzo 34:30
MATAIFA/MAKABILA YALIYOKAA KAANANI
Itakuwa hapo Bwana atakapowaleta mpaka nchi ya Wakanaani, na Wahiti, na Waamori, na Wahivi, na Wayebusi, nchi hiyo aliyowaapia baba zako kwamba atakupa wewe, ni nchi imiminikayo maziwa na asali, ndipo mtakapoushika utumishi huu katika mwezi huu.

Kutoka 13:5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…