Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,314
- 3,443
Leo Palestina imepigiwa kura 143 za kuwa mwanachama wa umoja wa mataifa
Kura 9 ikiwemo ya Marekani na Israeli zimekanusha, na wanachama 30 hawajapiga kura. Hii ni harakati ya kuifanya Palestina kuwa nchi kamili na mji wa Yerusalem kuwa mji huru naam mji mkuu wa dini kuu tatu (Uyahudi, Ukristo na Uislamu).
Israeli itaenda kupoteza sehemu ya maeneo kwajili ya taifa la Palestina. Sasa ni ngumu kueleweka sababu ya sera ya Marekani inayopinga taifa la Palestina kupitia ushawishi wa Waevangalical. Lakini Vatican na Umoja wa Ulaya wapo upande wa taifa la Palestina na wakiwa na mlengo wa kuifanya Yerusalemu mji mkuu wa kimataifa chini ya Vatican. Na hilo ni moja ya agano kati ya Vatican na Waislamu.
Kamwe huwezi sikia Vatican inaunga mkono mji wa Yerusalemu kuwa upande wa Wayahudi. Umoja wa mataifa unatambua kuwa mlinzi wa Yerusalemu ni Vatican na Ufaransa (makruseda) ambao daima wameugombania mji huo kwa mamia ya miaka.
Huwezi elewa hili jambo kwa sasa, ila unaweza pitia makala mbili ambazo nimezishare hapa, nitaziweka kwenye comment. Moja nimeiandika 2019 na nyingine 2023. Katika makala hizo mbili nimegusia machache yaliyo nyuma ya mchakato mzima ambao leo katika UN sura yake imeanza kuwa wazi. Hakuna matukio ya ajali duniani, kila kitu kinamatokeo yake. Vita vya Gaza goal lake ni kuvuruga akili za walimwengu ili waweke huruma kwa Wapalestina waliotolewa kafara pamoja na Wayahudi.
End justifies the means.
Na kama utakuwa na swali katika hili au baada ya kusoma makala hizo utauliza.
Na Jeff Massawe.
Kura 9 ikiwemo ya Marekani na Israeli zimekanusha, na wanachama 30 hawajapiga kura. Hii ni harakati ya kuifanya Palestina kuwa nchi kamili na mji wa Yerusalem kuwa mji huru naam mji mkuu wa dini kuu tatu (Uyahudi, Ukristo na Uislamu).
Israeli itaenda kupoteza sehemu ya maeneo kwajili ya taifa la Palestina. Sasa ni ngumu kueleweka sababu ya sera ya Marekani inayopinga taifa la Palestina kupitia ushawishi wa Waevangalical. Lakini Vatican na Umoja wa Ulaya wapo upande wa taifa la Palestina na wakiwa na mlengo wa kuifanya Yerusalemu mji mkuu wa kimataifa chini ya Vatican. Na hilo ni moja ya agano kati ya Vatican na Waislamu.
Kamwe huwezi sikia Vatican inaunga mkono mji wa Yerusalemu kuwa upande wa Wayahudi. Umoja wa mataifa unatambua kuwa mlinzi wa Yerusalemu ni Vatican na Ufaransa (makruseda) ambao daima wameugombania mji huo kwa mamia ya miaka.
Huwezi elewa hili jambo kwa sasa, ila unaweza pitia makala mbili ambazo nimezishare hapa, nitaziweka kwenye comment. Moja nimeiandika 2019 na nyingine 2023. Katika makala hizo mbili nimegusia machache yaliyo nyuma ya mchakato mzima ambao leo katika UN sura yake imeanza kuwa wazi. Hakuna matukio ya ajali duniani, kila kitu kinamatokeo yake. Vita vya Gaza goal lake ni kuvuruga akili za walimwengu ili waweke huruma kwa Wapalestina waliotolewa kafara pamoja na Wayahudi.
End justifies the means.
Na kama utakuwa na swali katika hili au baada ya kusoma makala hizo utauliza.
Na Jeff Massawe.