Mkuu mgeni wenu yamekuwa hayo tena? Najua Le baharia atakujibu tu japo naona kama siku hizi ameisusa JF baad ya kuwa watu hawamtendei haki kwa kumshambulia; personal attack badala ya kushambulia hoja zake.
Mkuu mgeni wenu yamekuwa hayo tena? Najua Le baharia atakujibu tu japo naona kama siku hizi ameisusa JF baad ya kuwa watu hawamtendei haki kwa kumshambulia; personal attack badala ya kushambulia hoja zake.
Ama kweli huyu jamaa anazeeka vibaya ,tubu uende mbinguni,yaani umeezeeka lakini akili za kitoto kweli
hapo sasa..na alikuwa akimtetea makongoro kwamba ni mbunge wake..leo anasema mkazi wa kivukoni..kesho tutackia kawe mara kibaha..kweli huu ni upu..uzi wa ccm...
Kimbunga, katika siasa ni lazima upime kama unakubalika kiasi gani kabla hujajitosa kuwania uongozi.Duh jamaa yetu anapigana kila mahala. Leo tena anasema Kivukoni ndiyo kata yake wakati juzi tu hapa alisema yupo kata ya Segerea!
Kumbe kwenye siasa unatakiwa kuwa Abdallah Nyumbanyingi. Kila mahala weka makazi ukisikia kna nafasi ya kisiasa unasema hapo ni kwako unagombea maisha yanasonga mbele. Anyway namtakia kila la kheri katika safari yake ya kisiasa.
Kata ya Kivukoni ndio ilimtoa Kimbisa kama Diwani na kisha kuwa Meya na sasa ni Mbunge wa EALA. Pia hapo ndipo aliyekuwa Mbunge wa EALA Dr. Masaburi alipogombea UDiwani na kushinda kisha akawa Meya. Mzee cheza kete zako vizuri kwenye Dhumuna unaweza kuingia EALA ama kuwa Meya wa Jiji.
PENYE NIA PANA NJIA. Naona wewe una nia, njia itapatikana tu.
Duh jamaa yetu anapigana kila mahala. Leo tena anasema Kivukoni ndiyo kata yake wakati juzi tu hapa alisema yupo kata ya Segerea!
Kumbe kwenye siasa unatakiwa kuwa Abdallah Nyumbanyingi. Kila mahala weka makazi ukisikia kna nafasi ya kisiasa unasema hapo ni kwako unagombea maisha yanasonga mbele. Anyway namtakia kila la kheri katika safari yake ya kisiasa.
Kata ya Kivukoni ndio ilimtoa Kimbisa kama Diwani na kisha kuwa Meya na sasa ni Mbunge wa EALA. Pia hapo ndipo aliyekuwa Mbunge wa EALA Dr. Masaburi alipogombea UDiwani na kushinda kisha akawa Meya. Mzee cheza kete zako vizuri kwenye Dhumuna unaweza kuingia EALA ama kuwa Meya wa Jiji.
PENYE NIA PANA NJIA. Naona wewe una nia, njia itapatikana tu.
jamani labda mimi mvivu kufikiri hivi huyu mtu tumweke kundi gani tu jaman gf,yani mi huwa namwona kero sana jamani yani kama mmbea fulani ,mpenda sifa,mavyeo ,yani sijui.ila mmeona watu wake wanaompa kichwa ni fb so msione akili zake ni za kimbea mbea sana ,maskini huyu kaka jamani hivi anafamilia kweli mbona ni aibu???????????HAPO KWENYE RED ANAJIONA ND HATA IKULU IKO CHINI YAKE,
leo nimechaguliwa kuwa mjumbe wa kuwakilisha wazazi wa kata yangu kivukoni, kwenye mkutano mkuu wa mkoa na pia kuwa katibu wa elimu, mazingira, na pia katibu mwenezi wa kata ya kivukoni, ambayo inahusisha hata ikulu na viongozi wengi wakuu waliopo madarakani na waliostaafu, ambao wengi wao walikuwepo leo na wakanipa kura zao;my campaign was great na nawashukuru wote hasa fb people kwa your prayers; in two weeks nitaingia ulingoni tena kugombea upande wa ccm pia: Love yah sana people na kidumu ccm!! - le mutuz!!