sir.JAPHET
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 699
- 133
kivukoni kunamtosha ndo level zake
Si kunakiupindi niliskia akisema ni mkazi wa segerea, naalijindaa kugombea jimbo iwapo makongoro angeshindwa kesi
William naambiwa hapa kuwa ulitelekeza Watoto watoto huko Marekeni na Ukashtakiwa,ndo kisa cha wewe pia kurudi huku,sasa wewe unawakilisha wazazi wenye Tabia zipi?
Safari ya kisiasa huanza kwa kuaminiwa na kuchaguliwa; ndio mwanzo wa safari hiyo... congrats!!!
Mkuu Ritz unalikumbuka lile container la CCM pale Holiday Out? Siasa za kivukoni zilikuwa pale mkuu ila sasa naona ni parking! Kuna jamaa mmoja mjanja mjanja wa town alikuwa akila pale HO tunamwita Mwenyekiti jamaa fitina za siasa za CCM anazijua mwanzo mwisho. Ndio waliombeba Dr. Masaburi. Akina John Jambele aliyegombea Segerea na Makongoro kwenye kura za maoni naye alikuwa akipikwa maeneo yale. Sijui Le Baharia naye amepikwa pale hasa ile ofisi ya pale garden manake baada ya container kuhama mambo yote yapo garden
Wacha hizo,zama hizo hakuna mshamba anaepanda meli,come with something else but not thisJamaa wa fitna anaitwa REGAN huyu LE MUTUZ ni Mshamba hata Seaview watu hawamjui ndio maana anatafuta umaarufu KUBWA JINGA
Wacha hizo,zama hizo hakuna mshamba anaepanda meli,come with something else but not this
Au Tunduma Mbeya,kwa mama yake mzazi!
Ameshakuwa chizi fresh???? au kamtelekeza sister hence una hasira?Wewe unaundugu na huyu chizi fresh? Jamaa ni **** kupita kiasi waulize watu ambao wanamjua Baharia koko khaa!
Kwa ababu
si kweli kwamba wana nafasi na si kweli kwmba wanaweza simama wenyewe katika maisha yao.
Ukweli ni kwamba
ni wababaishaji watu waishio kiujanja ujanja na hila nyingi za ubabaishaji wa hapa na pale.
Ni watu tegemezi na hata pengine ni makupe wakubwa wanyonyao usiku na mchana.
Msukumo mkubwa katika kutafuta nafasi za kisiasa ni matumbo yao ,Njaa zao na kujikweza