PONGEZI KWA TBC 1

PONGEZI KWA TBC 1

Udart

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
453
Reaction score
685
Leo katika kuperuzi channeli za kibongo nimeshtuka sana kwa jinsi tbc1 walivyo na HD ya nguvu cjui huu mchakato umeanza lini lkn wamejitahidi sana. nb mbolesheni vipindi ili kuwe na ushindani na televisheni nyingine.
 
Sisi tunaendelea kulia na maudhui tu,maana hata wakibadili wakawa HD lakini mambo yao yakawa Yale Yale hakuna cha maana walichofanya,wabadilike kifikra na kiutendaji
 
TBC kaondoka nayo Mpiga dili Tido Mhando

Mara nyingi Taasisi hufanya vyema zinapoongozwa Na watu wanaotuhumiwa Kwa ubadhirifu bila ya kujali ukweli Au uongo wa Tuhuma hizo

1) Jakaya Kikwete- Tanzania
2) Dr Dau- NSSF
3) Nehemiah Mchechu-NHC
4) Dkt Charles Kimei- CRDB
5) Tido Mhando-TBC
6) John Magufuli- Wizara ya Ujenzi
 
Mimi kilichonishangaza ni kipindi cha TCRA baada ya taarifa ya habari Leo....
Haloooo nimecheka Sana walah picha zao.
Yaani camera inaonesha mtu anaongea kamera inamkata kichwa. .mauzauza
 
Mkuu nimeangalia usiku huu nikashindwa kuelewa kabisa sijui jamaa wa kamera alikua kalala au alipewa juice akasahau kazi kabisa?? sijui wanaboresha nini hawa ndugu!
Mimi kilichonishangaza ni kipindi cha TCRA baada ya taarifa ya habari Leo....
Haloooo nimecheka Sana walah picha zao.
Yaani camera inaonesha mtu anaongea kamera inamkata kichwa. .mauzauza
 
hata mm nimewaangalia na kumsikia Gabriel akiisifia TBC wakati faint kabisa
 
TBC kaondoka nayo Mpiga dili Tido Mhando

Mara nyingi Taasisi hufanya vyema zinapoongozwa Na watu wanaotuhumiwa Kwa ubadhirifu bila ya kujali ukweli Au uongo wa Tuhuma hizo

1) Jakaya Kikwete- Tanzania
2) Dr Dau- NSSF
3) Nehemiah Mchechu-NHC
4) Dkt Charles Kimei- CRDB
hahahaha kweli lkn
 
Back
Top Bottom