Waungwana mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe. Nimefuatilia maandamano ya leo kwa umakini mkubwa lakini hasa nikijaribu kudadisi nafasi ya jeshi la polisi katika kusababisha au kuzuia machafuko.
Niseme tu kwamba kwa jinsi nilivyomsikia Kamanda wa Mkoa wa Mwanza Bw. Sirro akiongea na Radio France International (RFI) nimeamini kuwa ndani ya jeshi lililochafuka la polisi bado kuna watu waungwana. Ukiangalia picha jinsi polisi walivyokuwa makini hakika unakubali kuwa Polisi Mwanza wamejitahidi kuonyesha umakini wao tofauti na wale wa Arusha. Kumbuka shamrashamra zilianza tanu jana,Je angekuwa Andengenye hali ingekuwaje?
Big up RPC Simon Sirro
Niseme tu kwamba kwa jinsi nilivyomsikia Kamanda wa Mkoa wa Mwanza Bw. Sirro akiongea na Radio France International (RFI) nimeamini kuwa ndani ya jeshi lililochafuka la polisi bado kuna watu waungwana. Ukiangalia picha jinsi polisi walivyokuwa makini hakika unakubali kuwa Polisi Mwanza wamejitahidi kuonyesha umakini wao tofauti na wale wa Arusha. Kumbuka shamrashamra zilianza tanu jana,Je angekuwa Andengenye hali ingekuwaje?
Big up RPC Simon Sirro