mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Jeshi la Polisi Jijini Mwanza limeaonya baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii wanaotumia vibaya mitandao hiyo kufanya uhalifu ikiwemo kuhamasisha maandamano yasiyo halali.
RPC Msangi ametoa onyo hilo wakati akizungumza na Polisi mbalimbali walipokuwa wakifanya mazoezi ya viungo katika uwanja wa Mabatini
RPC Ahmed Msangi amesema kuna umuhimu wa kufanya mazoezi sana ili uwe na pumzi na muscles zikaze ili at least pale unapotaka kufanya shughuli zinazotumia nguvu na tuweze kufanya shughuli vizuri kwa ufanisi.
Nafikiri wote sasa hivi mnafahamu kuna hii mitandao ya kijamii kuna watu wanapeana vihabari vya kwenye mitandao ya kijamii wafanye uhalifu, na uhalifu wenyewe ni wa kufanya maandamano au mkutano usiokuwa na taarifa, na kiukweli umepigwa marufuku.
Sasa hili linasambazwa kwenye mitandao ya kijamii maana kuna hili la kushawishiana, la pili wote sisi askari inabidi tuwe na masikio marefu na pua zifanye kazi vizuri na akili.
Kuna watu wanafanya fanya hayo kushawishiana. Tufanye upelelezi, tuchunguze. Yeyote atayefanya hayo kushawishi tukimng'amua tuweze kumkamata. Tumkamate na tuweze kumhoji wana sababu gani, wana nia gani wanataka kufanya vitu vya kushawishiana kufanya vitu vya namna hiyo.
----
Viongozi mbalimbali walizuia 'maandamano haramu'. Zaidi soma...
Februari 26, 2018. IGP Simon Sirro alisema Ole wake atakayeandamana bila kufuata sheria
Mnamo Februari 28, 2018. Mkuu wa Majeshi, Venance Mabeyo alisema Kuna viashiria vinavyotishia Usalama wa Nchi, hatua zinachukuliwa kudhibiti hali hiyo.
Machi 9, 2018 Rais Magufuli amesema Ole wake atakayeandamana, kama kuna baba zao wanawatuma watakwenda kuwasimulia vizuri
Machi 9, 2018. Jeshi la Polisi pia kupitia Mkuu wa Operation na mafunzo, CP Nsato Marijani wakati alipokutana na vyombo vya habari amekionya kikundi kinachohamasisha maandamano ya kuiangusha Serikali kupitia mtandao wa Telegram
RPC Msangi ametoa onyo hilo wakati akizungumza na Polisi mbalimbali walipokuwa wakifanya mazoezi ya viungo katika uwanja wa Mabatini
RPC Ahmed Msangi amesema kuna umuhimu wa kufanya mazoezi sana ili uwe na pumzi na muscles zikaze ili at least pale unapotaka kufanya shughuli zinazotumia nguvu na tuweze kufanya shughuli vizuri kwa ufanisi.
Nafikiri wote sasa hivi mnafahamu kuna hii mitandao ya kijamii kuna watu wanapeana vihabari vya kwenye mitandao ya kijamii wafanye uhalifu, na uhalifu wenyewe ni wa kufanya maandamano au mkutano usiokuwa na taarifa, na kiukweli umepigwa marufuku.
Sasa hili linasambazwa kwenye mitandao ya kijamii maana kuna hili la kushawishiana, la pili wote sisi askari inabidi tuwe na masikio marefu na pua zifanye kazi vizuri na akili.
Kuna watu wanafanya fanya hayo kushawishiana. Tufanye upelelezi, tuchunguze. Yeyote atayefanya hayo kushawishi tukimng'amua tuweze kumkamata. Tumkamate na tuweze kumhoji wana sababu gani, wana nia gani wanataka kufanya vitu vya kushawishiana kufanya vitu vya namna hiyo.
----
Viongozi mbalimbali walizuia 'maandamano haramu'. Zaidi soma...
Februari 26, 2018. IGP Simon Sirro alisema Ole wake atakayeandamana bila kufuata sheria
Mnamo Februari 28, 2018. Mkuu wa Majeshi, Venance Mabeyo alisema Kuna viashiria vinavyotishia Usalama wa Nchi, hatua zinachukuliwa kudhibiti hali hiyo.
Machi 9, 2018 Rais Magufuli amesema Ole wake atakayeandamana, kama kuna baba zao wanawatuma watakwenda kuwasimulia vizuri
Machi 9, 2018. Jeshi la Polisi pia kupitia Mkuu wa Operation na mafunzo, CP Nsato Marijani wakati alipokutana na vyombo vya habari amekionya kikundi kinachohamasisha maandamano ya kuiangusha Serikali kupitia mtandao wa Telegram