VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Nimesafiri zaidi ya km 6,000 kwa gari mwisho wa mwaka na mwanzo wa mwaka huu.Nimeshuhudia uwepo na umakini wa hali ya juu askari wa usalama barabarani.
Sikuweza kuona ajali yoyote,waendeshaji vyombo wapo makini kufuatia sheria.
Asanteni sana wadau wote, mabasi sasa si mabucha ya binadamu tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuweza kuona ajali yoyote,waendeshaji vyombo wapo makini kufuatia sheria.
Asanteni sana wadau wote, mabasi sasa si mabucha ya binadamu tena.
Sent using Jamii Forums mobile app