Papaa Kinyani
JF-Expert Member
- Feb 25, 2013
- 1,459
- 697
Natoa pongezi za dhati kwa jeshi la polisi mkoa wa kipolisi wa temeke kwa kukamata madereva waliokuwa wakiendesha magari ili hali wamekunywa pombe. Hongereni sana kwa ubunifu huu, hili liigwe na polisi wote tanzania nzima na ajali zitapungua sana. Ukitaka kunywa usindeshe, nenda na dereva ambaye hanywi pombe au kunywa ukodi taxi. Safii sana na watakaa mahabusu mpaka jnne then mahakamani. GOOD, POLICE FORCE - TEMEKE