DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,381
- 98,843
Jana na juzi nilikuwa Temeke.
Aisee misiba ya watu wanaodhaniwa kuwa Ni Panya Road ni mingi mno, kwa Watu ninaowajua ni zaidi ya 18.
Kwenye hiyo misiba kuna wanaolalamika, wanaoumia na wengine wanasifu kazi nzuri ya Polisi.
NILICHOGUNDUA,
-kwa Dar, Temeke ndio kitovu cha uhalifu na wahalifu. Temeke ina wezi, vibaka na majambazi ya kila aina.
Bahati mbaya hata jiografia, mfumo wa maisha na malezi ya watu wa Temeke vimeruhusu uhalifu kutamalaki,
Wahalifu wanafahamika na jamii nzima ila Cha kuwafanya Hamna Ni Kama wananchi wameshakata tamaa.
Na zile chochoro za Temeke polisi Kupiga patrol na kukimbizana na vibaka Ni kazi ngumu Sana. Ndio Maana wengi wao wamejichimbia huko.
-Tangu kuibuka kwa panya road wanaoua,kujeruh na kupora Mali za Watu, mitaani kulikua hapakaliki.
Hofu ilitanda kila Kona, na lawama zote zilikwenda kwa jeshi la polisi kwamba hawafanyi kazi yao.
-Vijana wa panyaroad baadhi Ni ndugu zetu,majirani zetu, watoto wetu na wengine marafiki tu tunaishi nao mitaani na tunawajua, na hata wakifanya matukio Yao hata sura zao wengi hawafichi. Wengine wakishapiga matukio hurud mitaani kutanua na kujisifu hadharani.
Hili hata viongozi wa serikali za mitaa wanalifahamu.
-Polisi kwenye Hii operation hawaui Watu hovyo Kama baadhi wanavotaka kutuaminisha, nishakutana nao usiku Mara 2 na zote sijaguswa hata kidg Zaid ya usumbuf wa kuhoji maswali ya hapa na pale. Kwasasa nmechukua tahadhari kuacha kutembea Sana usiku mpk Hali itakapotengamaa.
Ninachokiona kwa Hawa vijana wa panya road, hofu kwao imetanda Sana. Akisimamishwa na polisi anaona suluhu yake Ni kujinusuru kumshambulia polisi au kukimbia mbio.
Kwanini sasa usipigwe risasi?
Kama Ni raia mwema unahofia Nini?
Watanzania TUACHE UPOTOSHAJI
-Muda wa operation Ni mfupi ila Hali inatia matumaini sana, ASILIMIA kubwa ya vijana wa panya road na wanaoshirikiana na panyaroad wamesombwa, wengine wameshauwawa, wengine wamekimbia.
Kuna utulivu flani umetamalaki Sana kwenye jamii.
Wanaolalamikia hii operation wengi wao
1. Ni wazazi/ ndugu wa wahalifu.
-kwa kufeli kwao ktk malezi na kuwakanya watoto/ndugu zao, lawama wamezielekeza kwa jeshi la polisi ili kutafuta huruma ya serikali.
2. wanufaika na uhalifu wa panyaroad.
Hasa wanunuaji na wauzaji wa vitu vya Bei rahisi kutoka kwa panya road.
Misiba ya yule dalali na yule jamaa wa TV na simu used, umetoa taswira kamili tuna wafanyabiashara wenye mzunguko wa namna gani.
3. Panya road wenyewe,
Hawa wanatamani operation isimame Maana Hali ishakua tete kwa wenzao.
Kuna kijana namfahamu anayo historia ya uhalifu, keshafungwa Mara 2 anarudi uraiani. Namuona analalamikia sana Hii operation na humu jf keshafungua na Uzi kabisa.
Nilichomshauri Ni akae tu kimya polisi wafanye kazi yao, vinginevyo kwausalama wake ahamie tu mkoani maana hata akitajwa Hakuna atakaemtetea kua kaonewa Kwasababu tayar historia ya uhalifu anayo na jamii nzima inalijua hilo.
Vinginevyo Akishupaza shingo,
Tutazika tu Kama tulivozika wenzake kina gala nakoz, dully kibesi na wenzie
PONGEZI NYINGI KWA JESHI LETU LA POLISI, Nasema hivi..... Kazi iendelee
Aisee misiba ya watu wanaodhaniwa kuwa Ni Panya Road ni mingi mno, kwa Watu ninaowajua ni zaidi ya 18.
Kwenye hiyo misiba kuna wanaolalamika, wanaoumia na wengine wanasifu kazi nzuri ya Polisi.
NILICHOGUNDUA,
-kwa Dar, Temeke ndio kitovu cha uhalifu na wahalifu. Temeke ina wezi, vibaka na majambazi ya kila aina.
Bahati mbaya hata jiografia, mfumo wa maisha na malezi ya watu wa Temeke vimeruhusu uhalifu kutamalaki,
Wahalifu wanafahamika na jamii nzima ila Cha kuwafanya Hamna Ni Kama wananchi wameshakata tamaa.
Na zile chochoro za Temeke polisi Kupiga patrol na kukimbizana na vibaka Ni kazi ngumu Sana. Ndio Maana wengi wao wamejichimbia huko.
-Tangu kuibuka kwa panya road wanaoua,kujeruh na kupora Mali za Watu, mitaani kulikua hapakaliki.
Hofu ilitanda kila Kona, na lawama zote zilikwenda kwa jeshi la polisi kwamba hawafanyi kazi yao.
-Vijana wa panyaroad baadhi Ni ndugu zetu,majirani zetu, watoto wetu na wengine marafiki tu tunaishi nao mitaani na tunawajua, na hata wakifanya matukio Yao hata sura zao wengi hawafichi. Wengine wakishapiga matukio hurud mitaani kutanua na kujisifu hadharani.
Hili hata viongozi wa serikali za mitaa wanalifahamu.
-Polisi kwenye Hii operation hawaui Watu hovyo Kama baadhi wanavotaka kutuaminisha, nishakutana nao usiku Mara 2 na zote sijaguswa hata kidg Zaid ya usumbuf wa kuhoji maswali ya hapa na pale. Kwasasa nmechukua tahadhari kuacha kutembea Sana usiku mpk Hali itakapotengamaa.
Ninachokiona kwa Hawa vijana wa panya road, hofu kwao imetanda Sana. Akisimamishwa na polisi anaona suluhu yake Ni kujinusuru kumshambulia polisi au kukimbia mbio.
Kwanini sasa usipigwe risasi?
Kama Ni raia mwema unahofia Nini?
Watanzania TUACHE UPOTOSHAJI
-Muda wa operation Ni mfupi ila Hali inatia matumaini sana, ASILIMIA kubwa ya vijana wa panya road na wanaoshirikiana na panyaroad wamesombwa, wengine wameshauwawa, wengine wamekimbia.
Kuna utulivu flani umetamalaki Sana kwenye jamii.
Wanaolalamikia hii operation wengi wao
1. Ni wazazi/ ndugu wa wahalifu.
-kwa kufeli kwao ktk malezi na kuwakanya watoto/ndugu zao, lawama wamezielekeza kwa jeshi la polisi ili kutafuta huruma ya serikali.
2. wanufaika na uhalifu wa panyaroad.
Hasa wanunuaji na wauzaji wa vitu vya Bei rahisi kutoka kwa panya road.
Misiba ya yule dalali na yule jamaa wa TV na simu used, umetoa taswira kamili tuna wafanyabiashara wenye mzunguko wa namna gani.
3. Panya road wenyewe,
Hawa wanatamani operation isimame Maana Hali ishakua tete kwa wenzao.
Kuna kijana namfahamu anayo historia ya uhalifu, keshafungwa Mara 2 anarudi uraiani. Namuona analalamikia sana Hii operation na humu jf keshafungua na Uzi kabisa.
Nilichomshauri Ni akae tu kimya polisi wafanye kazi yao, vinginevyo kwausalama wake ahamie tu mkoani maana hata akitajwa Hakuna atakaemtetea kua kaonewa Kwasababu tayar historia ya uhalifu anayo na jamii nzima inalijua hilo.
Vinginevyo Akishupaza shingo,
Tutazika tu Kama tulivozika wenzake kina gala nakoz, dully kibesi na wenzie
PONGEZI NYINGI KWA JESHI LETU LA POLISI, Nasema hivi..... Kazi iendelee