Ponda: Risasi ilinichanganya

Ponda: Risasi ilinichanganya

Status
Not open for further replies.
Huyu ponda anapaswa kula risasi ya kichwa tu! Atuondolee mambo yake ya udini..
 
Hapo nimeelewa wenye akili wanatambua Ponda ni jembe

A killer who should die as well. Kama hanyamazi basi risasi zitamnyazisha. Hivi hamjui JK? Ponda is an idiot, wewe shehe wa zanzibar kamwagiwa tindikali bcoz of him, leo anaendeleza huu mpango wa kuvuruga amani.
 
Coincidence? Umechemka mkuu..sio lazima utumie kidhungu kama hujui mahali sahihi pa kutumia. Coincidence is when two or more similar or related events occur at the same time by chance and without any planning.

So Mh. Mbowe never planned to film the tukio like Sh. Ponda did?
 
Sasa ujembe wa Ponda ukuwapi!? Huyu Mtu hakuhurumii hata wewe muislamu mwenzie!! Ponda ni Mtu hatari kwenye Jamii. Mie hua nashangaa kwa nini baadhi ya waislamu wepesi kurubunika ndio maana mnauawa sana kufuata akili za watu Kama Ponda.

Says kufar.. ..
 
Kitu chenye ncha kali Iyo kudadadeki. Mzungu hajakariri kasoma na kuelewa. Ukibonyeza tu kinaruka hewani. Kwanini usichanganyikiwe! Muulize mke wake Osama kilichootokea Abotabad yule bibie myemen Amal al sadah alinukuliwa akisema america is dangerous baada ya wanaume kumfytulia vitu vyenye ncha kali kilichowaacha hoi hawakuwagusa wanawake na watoto hao na mwili wa nduli osama bin laden na kumzika baharini kwa kufuata taratibu zoote za kiislamu.

Ukikuwa utaacha, tofautisha twita, FB, vijiweni, bandarini idara ya makuli, bunge, kituo cha daldala na JF!
 
Waliomsaidia mpaka Muhimbili hawakumueleza alitibiwa wapi kabla? Anyways, kama polisi wanahusika na saga lote hili, usalama wetu utabaki mikononi mwetu wenyewe.....
 
Anaye beza swala la Ponda lazima anasilika za ugamba tu!
Mwambie JK na Pinda waende kumjulia hali Ponda! Thubutu!!!!!!

Acha siasa weye.. . Waislam tupo tunaomuombea na wapo wanaomtembelea kiongozi wetu.. wapo wanaotaka kuligeuza hili swala mtaji wa kisiasa
 
Kama ilimchanganya kweli ataacha uchochezi
 
.
Swali: Nini msimamo wako baada ya tukio?
Jibu: Nitaendelea kuzungumzia haki za Waislamu na siwezi kurudi nyuma. Pamoja na kwamba wananiona mimi ni mtu mchochezi lakini wanaeneza chuki dhidi yangu kwa njia wanazojua wao. Nitaendelea, risasi haitaninyamazisha.
Hapa ndipo umuhimu wa kusikiliza ni nini hasa waislam wanachodhani wanapokwa haki zao kizungumzwe na pande zote mbili, kuna hoja kwamba Bakwata haisimamii haki za waislamu wote bali kakundi ka watu wachache kanakojipendeza kwa watawala, sasa hizi si zama za kutishana kwa moto, cha msingi ni kukaa menzani na kuyamaliza, hakuna jambo ambalo halina suruhu hapa duniani, if we want our peaceful land back.

Nafikiri kuna point ambazo Ponda anaona ni za msingi as far as islamic is concerned. tumsikilize!! kama tunavyopata fursa kusikiliza makundi mengine.
 
Acha siasa weye.. . Waislam tupo tunaomuombea na wapo wanaomtembelea kiongozi wetu.. wapo wanaotaka kuligeuza hili swala mtaji wa kisiasa

Hivi huyo mpigaji unadhani dhamira yake ilikuwa kumjeruhi? Mungu anataka kutupa fundisho kubwa sana!
Tutafika tu!
 
Jembe la UDINI? Mtu anatuharibia nchi unamuita jembe. Upuuzi tu na hilo jembe lako.

Una maanisha kutengeza nchi ni kuona dhulma ikitendeka na ukanyamaza? Kwa msingi huo amani haiwezikuwepo. Upuuzi ni kuogopa kudai haki yako. Tafakari chukua hatua.
 
Mungu ni haki na sikuzote hupenda haki. Mwenye haki ataipata akiwahai au ameshakufa.
 
Hapa ndipo umuhimu wa kusikiliza ni nini hasa waislam wanachodhani wanapokwa haki zao kizungumzwe na pande zote mbili, kuna hoja kwamba Bakwata haisimamii haki za waislamu wote bali kakundi ka watu wachache kanakojipendeza kwa watawala, sasa hizi si zama za kutishana kwa moto, cha msingi ni kukaa menzani na kuyamaliza, hakuna jambo ambalo halina suruhu hapa duniani, if we want our peaceful land back.

Nafikiri kuna point ambazo Ponda anaona ni za msingi as far as islamic is concerned. tumsikilize!! kama tunavyopata fursa kusikiliza makundi mengine.

Ndugu yangu nilifatilia kidogo barua ya Rwakatale alipotoka mahabusu,
Dhalimu yoyote hawezi kumwona Ponda ni binadamu anayestahili haki.
Ponda si kama Pinda tofauti yake ni "o"
 
A killer who should die as well. Kama hanyamazi basi risasi zitamnyazisha. Hivi hamjui JK? Ponda is an idiot, wewe shehe wa zanzibar kamwagiwa tindikali bcoz of him, leo anaendeleza huu mpango wa kuvuruga amani.

Kwa taarifa yako masheikh njaa ni hatari kuliko unavyoamini Sheikh Ponda anaweza kuwa kwasababu wao hawazungumzi ili kutafuta suluhu kama afanyavyo Ponda wao hufanya unafiki na kutafuta suluhu na mnafik ni ngumu. Ponda si mnafiki.
 
Swali: Nini msimamo wako baada ya tukio?
Jibu: Nitaendelea kuzungumzia haki za Waislamu na siwezi kurudi nyuma. Pamoja na kwamba wananiona mimi ni mtu mchochezi lakini wanaeneza chuki dhidi yangu kwa njia wanazojua wao. Nitaendelea, risasi haitaninyamazisha.

Kwa swali hili na Majibu ya Mtu mwenye majeraha; wenye hakili tunapata picha ya Kwamba CUF ni Chama cha Waislam na Kimekaa Kiuchochezi zaidi; NOTE: Iweje Ibrahim Lipumba atamke kwamba Nchi inaweza Kuingia Kwenye Machafuko ya Kidini eti kwa majeraha tu ya Shehe Mponda. Matamko ya CUF yote si ya Kisiasa bali ni Matamko ya Kidini.. Hongera sana Lipumba Kwa Kuengineer Siasa za Kidini na Kupewa Nishani ya Amani kwa Kinafiki.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom