Ponda: Risasi ilinichanganya

Ponda: Risasi ilinichanganya

Status
Not open for further replies.
Hivi angekua padri, askofu, ama mchungaji nyinyi wakristo mungeponda hivyo ebu acheni udini wenu wa kumfanya ponda aonekane mtu hatari kwa chuki zenu za urirhi, kumbuka hata waislamu ni watanzania kama nyinyi.
Hiyo sura yake tu na kama risasi ilitokea mbele mbona jeraha linaonekana kwa nyuma tu? Na risasi ikitokea upande wa pili si huwa inafumua au?
 
Mwananchi hakika ndomaana nawafagilia kwa kuwa wawazi wakutupasha na kufanya mahojiano na Jembe Sheikh Ponda Issa na yeye kupata fursa kunena japo machache


TAHADHARI KWA NDUGU KATIKA IMANI SHEIKH PONDA
Hawa jamaa usiwaambie ulikoficha huo mkanda wataaibaaaaaaaaa
 
Siku zote malipo hapahapa duniani,shangilieni kupigwa risasi sheikh Ponda na ikitokea kwa mchungaji au askofu mshangilie pia.
 
Hiyo sura yake tu na kama risasi ilitokea mbele mbona jeraha linaonekana kwa nyuma tu? Na risasi ikitokea upande wa pili si huwa inafumua au?

Tatizo lako we ndugu yangu unaangalia sana sinema!
Humo wana ekti tu! Sio kweli!
Teh teh teh teh!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom