Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,222
Hivi hadi muda huu bado watu wanataka kukwepa kuwajibika kwa kisingizio cha kutojua kama ni risasi ama la? Hata kama Ponda alikua na makosa kiasi gani,hakustahili unyama aliofanyiwa na pia kilichofanywa na jeshi la polisi kama taasisi yenye weledi ni utoto,ujinga na ni fedheha tu.