VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,006
Wamebana mwishowe wataachia tu. Hawana ubavu wa kubana maisha.
Si aachiwe mitaani ili apate ajali!Wamebana mwishowe wataachia tu. Hawana ubavu wa kubana maisha.
Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, yuko mbioni kuachiwa kwa dhamana muda wowote kuanzia sasa.Taarifa zilizonifikia toka vyanzo vyangu vya uhakika vya Polisi,Usalama wa Taifa na Chama cha Mapinduzi zinasema kuwa Sheikh Ponda atalegezewa masharti ya dhaman ili aachiwe.
Hatahivyo,Polisi wanaandaliwa kudhibiti hali itakayojitokeza siku atakapoachiwa Ponda.'Kila jambo lina wakati wake.Sheikh Ponda ataachiwa kwa dhamana hivi karibuni.Hali inaimarika kila kukicha' alisema Afisa mmoja wa Usalama wa Taifa. ' Kuana maandalizi ya kiintelijensia yanamaliziwa.Baada ya hapo,kila kitu kitakuwa sawa' aliongeza.Afisa huyo alisema hayo baada ya mimi kumdadisi juu ya ni kwanini Ponda bado hana dhamana ili hali makosa anayoshtakiwa kwayo yanadhaminika. Ni suala la muda tu
Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, yuko mbioni kuachiwa kwa dhamana muda wowote kuanzia sasa.Taarifa zilizonifikia toka vyanzo vyangu vya uhakika vya Polisi,Usalama wa Taifa na Chama cha Mapinduzi zinasema kuwa Sheikh Ponda atalegezewa masharti ya dhaman ili aachiwe.
Hatahivyo,Polisi wanaandaliwa kudhibiti hali itakayojitokeza siku atakapoachiwa Ponda.'Kila jambo lina wakati wake.Sheikh Ponda ataachiwa kwa dhamana hivi karibuni.Hali inaimarika kila kukicha' alisema Afisa mmoja wa Usalama wa Taifa. ' Kuana maandalizi ya kiintelijensia yanamaliziwa.Baada ya hapo,kila kitu kitakuwa sawa' aliongeza.Afisa huyo alisema hayo baada ya mimi kumdadisi juu ya ni kwanini Ponda bado hana dhamana ili hali makosa anayoshtakiwa kwayo yanadhaminika. Ni suala la muda tu
Hii ni dunia tu. Wewe ukipewa dhamana ukaona kuwa kupitia dhamana hiyo unaweza kufanya ubabe,we fanya lakini ukumbuke kesho kuna kuulizwa mbele ya Muumba wa mbingu ardhi na kila kilichomo. Siku zote mti wenye matunda ndio hupopolewa mawe. Kiuzalendo alichofanyiwa ni dhuruma hana kosa lakufanya asipewe dhamana.