ila greater thikers wanatakiwa watoe majibu ya dizaini gani, mtu hasumbuki na -------- ndo maana ukajibiwa kulingana na upuuzi wako, hilo nalo linahitaji mtu aende shule, hivi unaweza kuniambia how can u be so'sure kama kote uliposema ameleta uchochezi? Kwa propaganda za media au? Umeshawahi kupata nakala ya cd ambayo anayoshtumiwa kaleta kauli ya uchochezi? Maana sehemu zote alizofanya mihadhara cd zake zipo? For ur information Na hata huko morogoro hakuongea cha sana zaid ya kuwaambia waislamu waliohudhuria pale kuwa sku hiyo yeye si mzungumzaji bali siku inayofuata ataongea msikit wa aljabar kwa hiyo waumin wajitokeze, haya kauli ya chochezi hapo ipo wapi? Unatakiwa uvarify kabla ya kupost vitu