Ponda havumiliki

Ponda havumiliki

Ponda anasema: " watu wote wasio waislamu ni makafiri, na makafiri lazima wauawe ili dola ya kiislamu isimame, na ukiua ------ unapata dhawabu"



Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Kwa maana hii hii risasi iliekea pasipo -- ilitakiwa hivi sasa tuwe tunasema msalie mtume -- tule wali na chai na tumsahau. Ngedere mkubwa huyu anataka kuturudisha kushika mavi kila saa na kutuletea ujinga na umaskini mkubwa zaidi, elimu duni na tufie mbali acha vita kati ya misikiti na misikiti. Wammalizie wasibalikize kitu
 
Ponda anasema: " watu wote wasio waislamu ni makafiri, na makafiri lazima wauawe ili dola ya kiislamu isimame, na ukiua kafiri unapata dhawabu"


This being the case, police walichelewa. Nadhani kama si tinkikali (acid) kwa "Weupe", bado kusingefanyika lolote. Mkakati wa amani lazima uwe endelevu badala ya kusubiri madhara yatokee.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
wachochezi wote dawa yao itapatikana punde
 
Wandugu, kama wewe haupo WAPO walliohai na wenye kupumua hewa ya mwenyeezi mungu in-out Lailaah ila Allah.


life is short unajua madhara ya kundi fulani kujiona bora kuliko jingine kwasabab za kiitikadi,dini,rangi,mahali nk?
 
Hiv mtu anaposema waislam wanamatakwa yao,wanakandamizwa,ni katk nini hasa points zao znalenga,Waislam wanakandamizwa vipi na wapi?
,,,Ukisema elimu ntakataa kwan weng wao wanakimbia shule na kukazania madrasa tu
 
life is short unajua madhara ya kundi fulani kujiona bora kuliko jingine kwasabab za kiitikadi,dini,rangi,mahali nk?
Mpenzi na wandugu Huo sii KUNDI.... hilo ni uonevu mwekundu (dhulma wazi na kweupeee) siyo kwasababu ya shk.ponda tuu ila kwa kutetea HAKI " JUSTICE " tumezaliwa free from our mothers to live free. Sheikh onda anazungumza kwa kutumia maneno na ulimi only!! nahao makafiri wamjibu kwa maneno na sauti zao hata kwa SHERIA zao lakni sii haki kumpiga RISASI za moto... huo ni UKATILI na unyama .. DAMU inachemka kuona zuluma "injustice. amka wewe
 
Kazi kwelimweli, hivi matusi haya si yanafuta thawabu zote za kufunga
 
huko zanji kafanya mihazara ya uchochezi sili kali ikamuacha moro tena aaaaaaaaah sasa yatosha akamatwe mara moja

sio tu havumiliki ila angekuwa ktk nchi ambazo hazifany mcheyo na aman tayari wangesha muua. Uislam sio vurugu wala kufanya fujo ila kueneza dini kwa aman.
 
Hakika wengi hawamjui sheikh ponda zaidi ya kusikiliza propaganda chafu zinazoenezwa juu yake ila serikali ina haki ya kutambua wakimpoteza ponda leo watazaliwa kina ponda 100,000 kwa mwaka hadi watakapokuja tambua na kuwaacha waislamu wajisimamie wenyewe kama zilivyo dini nyingine.
 
kuna watu wanambwandambwanda tu we baada ya kuchangia mada unaingza ukafiri au ndo mawazo yako yalipokomea apo ukiona uko kidini zaid waachie uwanja wenye hoja za msingi waweke co unakuza izi tu bila hoja!! we anavumilika au havumilika shusha na evidence kaa pembeni.
 
By DullyJr
funga bakuli lako pimbi wewe
Great thinkers hawana majibu ya dizaini hii....
Who can proudly being addresed as great thinker in this Forum. Most of them are imbecile where it comes to addressing serious issues. Shame and real shame upon all who deem to be great thinkers while they are none
 
Huko zanji kafanya mihazara ya uchochezi sili kali ikamuacha moro tena aaaaaaaaah sasa yatosha akamatwe mara moja

...si jamaa wamemchapa risasi, naona jamaa walilenga moyo wameukosa,duuh snipers noma sana...
 
Ponda anasema: " watu wote wasio waislamu ni makafiri, na makafiri lazima wauawe ili dola ya kiislamu isimame, na ukiua kafiri unapata dhawabu"



Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Hizo ni propaganda ulizopangiwa uziseme na makanisa. SHEIKH PONDA ni msomi wa dini ya kiislamu. Uislam hauruhusu kuuawa nafsi ya mtu yeyote pasi na makosa. Na kisha Waislam wameamrishwa kuishi kwa wema na watu wote yaani Mayahudi na Manaswara. Wewe ulimsikia wapi akisema kauli hiyo?
 
Back
Top Bottom