Ponda hali mbaya

Status
Not open for further replies.
NIMEIPENDA ARTICLE YAKO NA INAVUTIA KWELI. kwa waislamu salamu kama hizo zako zenye hekima wao hawazisikilizi kabisaa kwa sababu wao wako kutaka ugomvi tuu.
 
Hicho kilichomuingia Ponda katika nyama zake ndicho anachohamasisha kwa nyakati zijazo!!
 
Mfumo upi?? wewe umeishia la 7 alaf unataka kula neema za nchi?? nenda shule, jibidiishe uone raha za dunia. Mfumo huohuo mnaoutolea mapovu unawapa kichapo hata hao wakristo mnaodhani wanabebwa.
Jitambue..



Vyuo vilivyotunukiwa hati baada ya kutimiza taratibu zote na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dr Jakaya mrisho Kikwete ni Chuo Kikuu cha Tumaini (TUMA), Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Chuo Kikuu Kishiriki cha Ruaha (RUCo), Chuo Kikuu cha Mount Meru (MMU), Chuo Kikuu cha Arusha (UoA),Chuo Kikuu Kishiriki cha Tumaini Dar es Salaam (TUDARCo), Taasisi ya Afrika ya Nelson Mandela ya Sayansi na Teknolojia Arusha (NM-AIST) na Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST).

Kwenye red hapo Angalieni juhudi za wenzenu wakristo kati ya vyuo nane 6 ni vyuo vinavyomilikiwa na wakristo. na ukienda kwa undani zaidi utawakuta waislamu wengi tu wanasoma katika vyuo hivyo
 

Hii mifumo Kristu kweli imeenea sana, hebu tazama Somalia, Libya, Misri, Afghanistan, Syria, DRC Tunisia, Mali, Nigeria, Iraq kote huku chanzo cha machafuko ni mifumo Kristu. Mkuu crabat, siku nyingine usikubali kufungiwa ndani ya chumba halafu ukakarirshwa mambo na kuyaongea bila kujua kinachoendelea katika maeneo mengine.
 
All in all ukihamasisha vurugu itagusa jamii yote sio mwisilam au mkristo,tumuombe Mungu atuepushe na hili janga maana yanaendelea misri na syria kila mtu anayaona
 
MUNGU ibariki Afrika MUNGU ibariki Tanzania!
 
tatizo lenu mnaviherehere sana, yaani kuanzia vioongozi mbaka waumini, ndicho kinachowaponza, panya pori nyie.

ha ha ha ha ha! nadhani naweweni panya buku! Viongozi wa juu wa serikali ni waislamu wenzako lakini bado unalalamikia mfumo kristo? Are you out of your mind?
 
Afe tu huyo Sheikh Ponda maana ni kirusi hapa nchini.
 
ni heri hiyo risasi ingempata kichwani mpuuizi sana huyo ponda
 

Sijaelewa mnavyosema eti nchi inaendeshwa kimfumo KRISTO. Hebu tuangalie ukweli huu:
1.Rais-muislam
2.Makam wa Rais-muislam
3.IGP-muislam
4.Wakuu wa mikoa na wilaya wengi waislam
5.Kitengo cha Qur'an kipo chini ya makam wa Rais
6.Serikali ya Zanzibar hakuna kiongozi wa serikali mkristo.
Waislam kwa kulalamika mmejaliwa.Au hao wote niliowataja ni wakristo?Mjiongeze akili.
 

Kipindi cha Nyerere ilisemwa nchi inaendeshwa Kikristo, kipindi cha Mkapa pia.
Kipindi hiki cha JK maneno ni yaleyale. Yapo maneno yalishawahi kusemwa kuwa Prof Lipumba akiwa ktk mckiti m1 maeneo ya Kariakoo alinena kuwa alifanya jitihada ili JK aingie madarakani kwa kuwa ni Mwislam.

Sasa nashindw kuelewa vzur:
1. Tupe tafsiri yako kuhusu 'mfumo Kristo'
2. Je, JK anaendesha nchi kwa kutumia mfumo Kristo au unataka kutuambia JK anendeshwa kwa kitenda-mbali (remote control) toka nyuma ya pazia?
3. Kama wakristo waliendesha nchi kwa mfumo Kristo na waislamu nao wanaendesha kwa mfumo Kristo je, ni nani takaeiendesha kwa "mfumo islamu"? Je huyo atakuwa Mpagani(asie na dini)?
 
Yaani jeraha la bega tu,alafu wanasema hali mbaya!!

Ponda aache utoto,atulie apate haki yake hata segerea kuna hospital watamtibu.
 
Naombeni uhusiano uliopo kati ya Kinachodaiwa kuwa ni uchochezi alioufanya ponda kwa kusema "Ndugu Waislamu msikubali uundwaji wa kamati za ulinzi na usalama za misikiti kwani kamati hizo zimeundwa na Bakwata ambao ni vibaraka wa serikali."
na kukosa elimu kwa waislamu.
Je kunahitajika elimu ili mtu kung'amua kama Bakwata ni vibaraka wa serikali?
 
Mfumo upi?? wewe umeishia la 7 alaf unataka kula neema za nchi?? nenda shule, jibidiishe uone raha za dunia. Mfumo huohuo mnaoutolea mapovu unawapa kichapo hata hao wakristo mnaodhani wanabebwa.
Jitambue..

Sasa mtu unaetoa kashfa kama wewe! Kweli utaweza kumshauri muungwana kweli!?
We kwako waislamu woote si wasomi!
Hii mijitu mingine ni hasara tu kwa taifa.
 
ha ha ha ha ha! nadhani naweweni panya buku! Viongozi wa juu wa serikali ni waislamu wenzako lakini bado unalalamikia mfumo kristo? Are you out of your mind?

Huku kudhani dhani kwako kutakuponza siku moja! Nyie ndio makapi ktk jamii!

Nyau we!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…