Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Kiukweli ninakoshwa sana na hawa jirani zetu.katika gazeti lao Taifa letu alipokufa magufuli waliandika "Pombe yapata Suluhu " alipoteuliwa Mpango wakaandika " Suluhu apata mpango" .
Ukitafakari kwa kina Wahariri/waandishi wanatumia vizuri lugha ya kiswahili kufikisha ujumbe ambao kiukweli unafikirisha na msomaji/wasomaji anaweza kutafakari na kufikia hitimisho kwa namna inayoweza kumridhisha msomaji.
Waandishi wa habari Tanzania mna la kujifunza kutoka Kenya. Ubunifu.
Ukitafakari kwa kina Wahariri/waandishi wanatumia vizuri lugha ya kiswahili kufikisha ujumbe ambao kiukweli unafikirisha na msomaji/wasomaji anaweza kutafakari na kufikia hitimisho kwa namna inayoweza kumridhisha msomaji.
Waandishi wa habari Tanzania mna la kujifunza kutoka Kenya. Ubunifu.