R raslimali JF-Expert Member Nov 4, 2014 1,344 1,013 Nov 4, 2023 #1 Nimeimiss sana hii pombe ya kabila la Warangi inaitwa Udo. Inatengenezwa kwa mtama. Wapi inapatikana mikoa ya jirani kama Arusha na Manyara??
Nimeimiss sana hii pombe ya kabila la Warangi inaitwa Udo. Inatengenezwa kwa mtama. Wapi inapatikana mikoa ya jirani kama Arusha na Manyara??
Tate Mkuu JF-Expert Member Jan 24, 2019 28,410 81,905 Nov 4, 2023 #2 Ukienda Kondoa kwa hao Warangi, utaipata.
C Cohenlukinga JF-Expert Member Nov 13, 2022 243 288 Nov 4, 2023 #3 raslimali said: Nimeimiss sana hii pombe ya kabila la Warangi inaitwa Udo. Inatengenezwa kwa mtama. Wapi inapatikana mikoa ya jirani kama Arusha na Manyara?? Click to expand... Manguree hiyo
raslimali said: Nimeimiss sana hii pombe ya kabila la Warangi inaitwa Udo. Inatengenezwa kwa mtama. Wapi inapatikana mikoa ya jirani kama Arusha na Manyara?? Click to expand... Manguree hiyo